Nimenusurika kutapeliwa siku ya leo

usifanye biashara kizamani
 
Mimi humu kuja jamaa alitaka kunitapeli iphone ya mchongo akaniita bar nikawakuta yeye na wenzie wanakunywa wanakanikaribisha wakanipa simu niangalie, nilivyoona ya mchongo nikamute kwanza nikawaambia tupige vyombo kidogo halafu twende atm tukatoe hela, piga maja piga maji nilivyoona zinatosha me huyo nikawaaga kuwa naenda toielt, jumlaaaa!
 
sijamuona mtu mjinga kama weww unasumbuliwa sana bado upo tu
 
Huu mchezo nilichezewa hivyo hivyo pale Hospitali ya Bochi teba bidhaa ilikuwa laptop
Ila nilishtuka mapema
 
Mungu ni mwema .....naamini ataendelea kutengeneza njia pasipo njia katika biashara YAKO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…