Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Aisee!.
Tukio kama hili nakumbuka liliwahi kunitokea. Niliingia Gest na Pisi kali, tukiwa kitandani namuandaa yule Binti akaniambia kichwa kinamuuma hajisikii vizuri - Simu yangu ikawa inaita nikapokea. Alikuwa ni mchungaji wa Kanisani kwetu, aliniambia alikuwa kwenye maombi kaonyeshwa kuwa mimi nipo Gest na Binti mwenye Mapepo saba hivyo nakaribia kuingia matatizoni. Akaniomba nisitishe hilo zoezi.

Nikajiuliza iwapo angepandisha mapepo, Sijui nini kingetokea maana binafsi sina uwezo wa kuyatuliza wala kupambana nayo ningeishia kutimua mbio tu.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Bikra ya majini labda maana yalinikazia kichizi kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukakutana na kisanga, acha uchachawe mzee wa bikra, lol
 
Damu yako chakula chao, we jipeleke tu, hayatakuacha mzima labda uende na code za kilokole

Mimi natumia Code za Kikulungwa, sio za walokole.

Raundi hii lazima akome na majini yake
 
Mkuu, raundi hii nimejipanga. Nilikuwa sijui Ila Kwa vile nimejua hakuna kinachoharibika.
M
Na moja ya udhaifu wao mkubwa wanasema ni wewe kuwa jasiri sana. Sema wana namna yao ya kuzungumza nao inatakiwa uwajulie vinginevyo wanakuwahisha fasta tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukakutana na kisanga, acha uchachawe mzee wa bikra, lol

Mkuu Mimi haya mambo wala hayaniogopeshi tena Kama angeniambia mapema kuwa anamajini huenda hii isingekuwa habari na wala nisingeleta humu kwani ningeshakuwa nimemtooomba.

Hawa wenye majini ndio wazuri alafu wengi wanaasili ya kiarabu
 
Na moja ya udhaifu wao mkubwa wanasema ni wewe kuwa jasiri sana. Sema wana namna yao ya kuzungumza nao inatakiwa uwajulie vinginevyo wanakuwahisha fasta tu

Kwa tukio la Jana, lazima Yale majini yatakuwa na hasira na Mimi.

Hivyo raundi hii nitaenda nikiwa nimejipanga Kwa kujihami.

Lazima aliwe
 
Jina warda awe na bikra miaka 25??
Hao wanaanza wakiwa na miaka 13
Huyu mzee yeye alisema huwa ana deal na wanawake bikra tyuuh.
Ndo nkawa namuuliza hapo, je huyo nae bikra? Ila kiukweli majina ya Warda sijui vipi, kulikua warda tulisoma wote primary class 1, jaman tangu drs la 6 anatembea na wakaka wa mtaan, na alikua mcharuko hatari lol.
Now time kaolewa ila hajazaa had now, japo kwenye ndoa huu mwaka 4.
 
Kwa tukio la Jana, lazima Yale majini yatakuwa na hasira na Mimi.

Hivyo raundi hii nitaenda nikiwa nimejipanga Kwa kujihami.

Lazima aliwe
Kafumue tumbua hilo utuletee mrejesho
 
Sugua mbususu hiyo mpaka majini apate wivu,

Ila sauti Ile sio mchezo, Kama ingekuwa ni mtu basi angekuwa mwanaume mwenye mwili mkubwa, na ndefu nyingi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu Kwanza tumeharibu chumba cha watu, huo muda wa selfie ungekuwepo.

Maana picha limeanza Kama mzaha, lakini kadiri muda ulivyoenda mambo yakanikalia koo
Gharama za uharibifu vp?
 
Mimi natumia Code za Kikulungwa, sio za walokole.

Raundi hii lazima akome na majini yake
Hizo code za kikurugwa si zilifeli pale lodge au mie nilisoma vibaya?

Ilibaki kidogo tyu utolewe roho huku ukitaja hizo code za K[emoji23]

Nimekushauri utumie another code kama kweli umedhamiria kumgegeda mwenye pepo, bishop Mkandamizaji anazijua vizuri hizo code wasiliana nae
 
Mkuu Mimi haya mambo wala hayaniogopeshi tena Kama angeniambia mapema kuwa anamajini huenda hii isingekuwa habari na wala nisingeleta humu kwani ningeshakuwa nimemtooomba.

Hawa wenye majini ndio wazuri alafu wengi wanaasili ya kiarabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa na we ungeweka hizo Arabs style, mbna ukawa unachachawa? Na bahati yako angekua mwalimu Athuman angekuvunja pumbu hizo, hahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…