Sugua mbususu hiyo mpaka majini apate wivu,Lazima iliwe, nipo tayari kuingia mgogoro na hayo Majini yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukakutana na kisanga, acha uchachawe mzee wa bikra, lol[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Bikra ya majini labda maana yalinikazia kichizi kweli
[emoji23][emoji23][emoji23]Videmu vinavyooiitwa warda vinamatatizo sana...japo hili listorii ni gahawaaa
Na moja ya udhaifu wao mkubwa wanasema ni wewe kuwa jasiri sana. Sema wana namna yao ya kuzungumza nao inatakiwa uwajulie vinginevyo wanakuwahisha fasta tuMkuu, raundi hii nimejipanga. Nilikuwa sijui Ila Kwa vile nimejua hakuna kinachoharibika.
M
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukakutana na kisanga, acha uchachawe mzee wa bikra, lol
Na moja ya udhaifu wao mkubwa wanasema ni wewe kuwa jasiri sana. Sema wana namna yao ya kuzungumza nao inatakiwa uwajulie vinginevyo wanakuwahisha fasta tu
Huyu mzee yeye alisema huwa ana deal na wanawake bikra tyuuh.Jina warda awe na bikra miaka 25??
Hao wanaanza wakiwa na miaka 13
Kafumue tumbua hilo utuletee mrejeshoKwa tukio la Jana, lazima Yale majini yatakuwa na hasira na Mimi.
Hivyo raundi hii nitaenda nikiwa nimejipanga Kwa kujihami.
Lazima aliwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio hadithi ni live bila chenga imenitokea miaka kadhaa iliyopita, ni mwanamke aliyekamilika kila idara kiasi cha kumfanya mwanaume rijali aweze kumtazama kwa umakini wa hali ya juu. Binafsi sikuwa na nia ya kumtongoza ikatokea tunashinda pamoja mazingira fulani kikazi kiasi cha kuzoeana na kubadilishana namba, katika kuwasiliana nikahisi ana lake jambo ikaninilazimu nimfanyie upelelezi kwa wanaomfahamu.
Nikaambiwa huwa ana majini wawili wakorofi hatari sana nikawa nafanya niwezavyo kujiweka mbali naye, siku ya siku nipo na jamaa zangu tumetembelea mitaa ya kwao na yule mwanamke ndio tukashuhudia akiwa katembelewa na hao walimu wake wawili ......... Balaa lake sio kitoto, anabadilika sura linakuwa kama dubwasha la kutisha halafu sauti inayomtoka ni nzito na anakuwa na nguvu ambayo huwezi hata kufikiria. Baba yake mzazi ndio anamudu kuongea nao na kuwatuliza. Mikononi anavaa pete mbili ~ moja mkono wa kushoto nyingine mkono wa kulia rangi nyekundu na kijani. Kila Pete ni ishara ya mwalimu mmoja.
Baada ya maongezi ya kina sana alinishawishi nikamto.mbea maeneo ya Kinondoni hapo lakini siku ile sikulala usingizi hata chembe pamoja na yeye kujaribu kila namna kunitoa hofu kuwa hakuna tatizo alishawaomba hao walimu wake wakamruhusu kufanywa.
Kipindi Cha nyuma alikuwa akinipigia simu ananiambia nilipo kabla sijamwambia na ni kweli nakuwa hapo. Nilimpotezea mdogo mdogo kwa sasa hanitafuti mara kwa mara. Hao watu wapo na wanato.mbana utafikiri siku ya mwisho qqqqmmamamamaaaaaaqeeee, akikukalia mb0rlo ananyonga kiuno anakandamiza halafu anapiga yowe la mahaba kisha anatukana mitusi , unaweza hisi uBo0 unanyofokea kwa ndani usipokuwa mtundu anakuwin bao zote anachukua point tatu
Nimesoma huu uzi huku nimedindisha
Gharama za uharibifu vp?Mkuu Kwanza tumeharibu chumba cha watu, huo muda wa selfie ungekuwepo.
Maana picha limeanza Kama mzaha, lakini kadiri muda ulivyoenda mambo yakanikalia koo
Hizo code za kikurugwa si zilifeli pale lodge au mie nilisoma vibaya?Mimi natumia Code za Kikulungwa, sio za walokole.
Raundi hii lazima akome na majini yake
Salamu kwa WardaNimefika Kairuki.
Nitatoa mrejesho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa na we ungeweka hizo Arabs style, mbna ukawa unachachawa? Na bahati yako angekua mwalimu Athuman angekuvunja pumbu hizo, hahahMkuu Mimi haya mambo wala hayaniogopeshi tena Kama angeniambia mapema kuwa anamajini huenda hii isingekuwa habari na wala nisingeleta humu kwani ningeshakuwa nimemtooomba.
Hawa wenye majini ndio wazuri alafu wengi wanaasili ya kiarabu