Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Warda alikuwa akilalama anajisikia vibaya,

Kisha akaanza kutetemeka huku akilalamika baridi,
Akawa anasisitiza hajisikii vizuri. Mimi nikawa namuona anazingua
 
Nimeshaingea kwenye mgogoro na majini, lazima nimgegede. Siwezi zuiwa majini Mimi.
Mara hii mbu.pu zinakwenda amini amini nakwambia!!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa na we ungeweka hizo Arabs style, mbna ukawa unachachawa? Na bahati yako angekua mwalimu Athuman angekuvunja pumbu hizo, hahah

😃😃😃😃

Sasa ajiandae maana raundi hii lazima atombwe na waalimu wake.

Mtoto mzuri ananiletea upuuzi wake wa majini hapa. Alah!
 
Jibu unalo[emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukitaka kunificha kitu tumia hadithi ndefu...Huwa siwezi kusoma...Wadau watanisimulia
 

Hazikufeli sema nilitanguliza uchu wa ngono mbele.

Alafu nilikuwa nampa code za kiwango cha chini lakini huyu nikimpa zile za kikubwa namzimisha
 
Hahahaha broo kumbe wew ndo joka Jeusi... Mimi ndo yule mshikaji niliyekupa taulo ujifunge.... Angekuua aisee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ijapo hii story ni chai,lakini itasaidia kidogo watu kufikiri mara mbili kabla ya kuamua kufanya uzinzi
 
“shindwa pepo kwa jina la Yesu” x3

Watu wanatamka jina la Yesu mpaka kwenye uasherati huko![emoji28][emoji28][emoji28]
Option zikiisha, inaitwa 'Kila goti litapigwa'
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sasa ajiandae maana raundi hii lazima atombwe na waalimu wake.

Mtoto mzuri ananiletea upuuzi wake wa majini hapa. Alah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambiaje round hii utafanywa kitu hutoamini, wee kuwa mbishi shauri yako lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…