Nimenyang'anywa Watoto wangu na moyo unaniuma maana nawataka sanaa

Mungu akuniumba ili hizo roho zinitese.
Punguza religouspreneurship hizo za kina Mitume na manabii.

#YNWA
 
Umeona sasa...
Katika maelezo yoote we umemuona wa badoo tuu..
Hao wengine vipi?
Yaani umekua only pesmism

1. Yule alisema ukristo ni kafili niwe muislamu wewe unasema niombewe...
Nilitaka kumuoa ila huo udini kama uliouandika hapa ulikatisha malengo ya ndoa.

2. Alinificha status yake ya ukimwi.
Kwanini asingeniambia ili nifanye maamuzi ya kweli.
Na nilitaka kumuoa.

3. Kwanini wake za watu hamsemi ukweli?
Mboo zetu ni tamu kuliko za mume zenu?

Wote hao nilitaka kuwaoa ila KOSA LANGU LIKO WAPI?

#YNWA
 
Jibu ni kwamba rekebisha mitindo yako ya mahusiano.

Yaani, ukosee wa kwanza, pili, tatu, 4?

Halafu mikasa inafanana kama ya bongo movie!
Kosa langu liko wapi?
Ulitaka nibadili dini, ulitaka nikomae na ukimwi au ulitaka nimnyang'anye mjeda mke?

#YNWA
 
Hayo mabaya yaliyomtokea nilimtabiria mimi? Mimi sio mtabiri na neno ninalosema sio lazima litokee. Ni mawazo yangu tu
We umemuona huyo wa 4 na hao walionidanganya mama?

#YNWA
 
Huu uzi ungekuwa ni wa mwanamke ungechangia vizuri tu, tena kwa kuponda. Jamaa ana tatizo...akaombewe na mwamposa
Wa kwanza aliniambia niwe muislamu wewe unasema nikaombewe....

NANI YUKO SAHIHI?

Yaani nitoe hela yangu nikanunue mafuta ya kula kwa mwamposa kisa kayaombea.

Hiii bagoshaaaa stop religouspreneurship aisee...

#YNWA
 
Wewe ndio una shida jichunguze tafta mke uone maana naona utakuja kuishia pabaya kuliko baba diamond
Shida yangu ni kukataa kuwa muislamu, kukataa ukimwi au kumwachia mjeda mke?

Sio kwamba wanawake wanashida ya kunidanganya?

#YNWA
 
Dinij zilikuja na mashua aisee ila misimamo yake imeharibu maisha ya wengii...

#YNWA
 
Ha haaa sijaona ngoja nitafute. Ila lazima umemuonea huruma na kumtia moyo..ingekuwa ni mimi nimepost shida zangu nimezaa watoto wa4 kila mmoja baba yake...my friend, ningebanwa humu bila huruma hadi nijinyonge.
Wanawake punguzeni uongo basiiii...

#YNWA
 
Nilitaka kulea ila walikimbia kisa dini, ukimwi, mke wa mtu na siwezi oa Malaya.

Tungeelewana Mambo ya dini tungemaliza mapema ila alihusudu dini kuliko mimi.

Mke wa mtu umekuja chuo tukawa pamoja, KWANINI ASINGESEMA MAPEMA KUWA KAOLEWA...

Una ukimwi unaficha ili iweje?

#YNWA
 
Miaka 31 tu malaya mzoefu hivyo,utapataje sasa mwanamke wa kumuoa,hao uliotusimulia tu wengine si unajaza fuso zima,punguza zinaa ndugu
Hapo mimi Malaya au wao walionodanganya ndio Malaya..
We ulitaka.....
1. Nibadili dini?
2. Ulitaka nikomae na ukimwi?
3. Ukitaka nimnyang'anye mjeda mke?
4. Ulitaka nioe Malaya?

#YNWA
 
Sogea tuishi baadae wazazi watujue ndio habari ya mjini broo.

#YNWA
 
Watarudi tu naamini.

#YNWA
 
Ndo maana sipendagi kumwaga ndan kwa mwanamke nisie kua na malengo nae.

Aya Mateso ya nafsi anayopitia mtoa mada,

Ndio wanayapitia wanaume wengi Sana Kwenye jamii tunayoishi kila siku.

Sema tu mtoa mada kajitoa muhanga kuyaelezea.
Asante kwa kunitetea.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…