"ugonjwa ukiwa unaanza ni ngumu Sana kuugundua lakini ni rahisi kuutibu,,, ugonjwa ukikomaa ni rahisi Sana kuugundua lakini ni ngumu kuutibu".
Pole Sana, nimesoma nyuzi zako nyingii, nimeona jins gani ugonjwa ulivyokuwa unaanza lkn ulikosa kuutibu mapema Kwa kigezo Cha nitambadilisha kwenye ndoa, au nitambadilisha awe nitakavyo. Huo msemo huwa unawagharimu watu wengi sana,
1) nitambadilisha
2) uvumilivu
Hakunaga kitu kinaitwa nitambadilisha au acha nivumilie kwenye mapenzi. Ugonjwa ulishauona tangu kbl hajakuoa lkn ulishupaza shingo kwasbb ulitamani ndoa , ulitamani kuolewa, upweke ulikuchosha. Lakini ss ugonjwa umekomaa na matibabu yamekuwa ni yenye maumivu mazito ndani ya moyo...
Ni kweli mapenzi ni muhimu ktk maisha yetu, na Kila mwanadamu anahitaji upendo kutoka kwa mwenzi wake. Simama acha kulia, jali mambo yako kuanzia Sasa, Rudi nyumbn kwako, usiache nyumba yako, bihashara zako, Mali zako kwasbb ya mtu 1. Najua ni ngumu lkn jitahidi, pambana Kwa ajili ya wtt wako. Usimuulize chochote ata awe amerudi saa 2 asubuhi, ikiwezekana gawaneni na vyumba kbs, Kila mtu alale kwake, fungua bihashara yako, endelea kupambana. Aache pesa ya kula asiache, usimuulize, na chakula usimuachie. Pika kula na wtt wako. Mandhari hakupigi Wala hakuvunji Taya, pambana Kwa ajili ya wtt wako. Mwanamke pambana, acha kulia Lia. Na ukiona hiyo njia huwezi, nenda kapange, endelea na maisha yako, usimfikirie yeye na hapo ujue tu hakuna mwanaume.
Ila hatushangai siku ukija hapa na kusema umerudiana nae. Maana mwalimu wetu ni kipofu. Na mapenzi hayanaga ushauri, sema tumejipendekeza tu hapa, mn ndiyo hulka ya binadamu ilivyo.