Darling punguza kuwa serious na kila kinacholetwa JfUnatudhalilisha sie tusiotoka Moshi etiee??!! Mwenyewe Moshi ndio mji wako wa kwanza tu kutembelea tangu umetoka kijijini kwenu Kintinku ndio unatuletea kauli za kishamba hapa. Hiyo sensa umeifanya mikoa mingapi mpaka ufikie conclusion hiyo?
Aman iwe kwenu wapendwa
Kwanza kwa kuondoa utata Mimi siyo Wa Kilimanjaro Mimi ni msukuma Wa mwanza lakin Niko huku Kilimanjaro tumekuja huku na mjomba kusalimia wakwe zake maana kaoa huku
Twende kwenye maada
Alooo ngosha wenzangu huku kuna watoto weupe kishenz wana saut nzur hizoo aloo aloo usipime Mimi nimenyosha mikono ndugu zangu watoto ni twiga warefu kama Wa kwetu usukuman sema hawa ni weupe sana
Yaan wanavyoniita ndo nachoka kabisa naitwa baba Yangu aisee Mimi nitahamia tu huku jaman
Siku nikikutana na mtu akawa anawaongelea vibaya watoto Wa huku Kilimanjaro nitapigana Naye. Kwanza hapa alipoa mjomba hii familia ni weupe kama waarabu Wa kayenze, kuna mtoto mmoja nimemzimikia hapa kashanipa na namba lazima niache alama huku
Nimetembea mikoa mingi lakin huu mkoa nimenyosha mikono yaan nimewavulia kofia kabisa
Wachaga mumebalikiwa kuwa na wasichana wazur weupe hongeren sana ngosha lazima nitakuja kuoa kwenu
LONDON BOY
Si unaona kama huyo jombi yake kaolewa kwenda Moshi, badala ya kuoa yeye apeleke mwanzaWasukuma wengi wanaowa Wachaga kwa sababu ya ushamba wao wa watoto weupe. Lakini pia Wachaga ni wajanja wanawapiga sana Wasukuma kwa ushamba wao.
Aisee huyo jombi yako hamnazo anaenda kula sikukuu kwa wakwe badala ya kwenda kwao mwanza? Hata hayo watoto wake watabase zaidi upande wa mama, wasukuma mtaacha lini ushamba aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Upendo wapi...! Kaolewa huyo unakuta hata kwao kapasahau anajenga kwa wakwe tuMbona hamna shida kwenda kumu support mke sikukuu huo ndo upendo wenyewe sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upendo wapi...! Kaolewa huyo unakuta hata kwao kapasahau anajenga kwa wakwe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha Umbea!Wachaga??? Rangi tu.
Miguu yao nilishashindwa kuipa mfano maaana nimibaya mibaya sijawah ona
Wengi wao wanamahips ,lkm makalio hawana.
Sura hata mbuzi anayo
Kama unajiamini njoo pmUnatudhalilisha sie tusiotoka Moshi etiee??!! Mwenyewe Moshi ndio mji wako wa kwanza tu kutembelea tangu umetoka kijijini kwenu Kintinku ndio unatuletea kauli za kishamba hapa. Hiyo sensa umeifanya mikoa mingapi mpaka ufikie conclusion hiyo?
Hata picha ya yesu ni mzungu flani piaUyu ni mzungu flani tu ivi akiwa kwenye pozy lakee[emoji23][emoji23][emoji23]
Tutapanda dreamliner na airbus baba...Kwa sura sawa,'usafiri' je!?.
Mbona jiwe mke wake sio mweupe au unamainisha mama yake alimdanganya baba yake kua ni mwanae kumbe sio?!WASUKUMA NA WANAWAKE WEUPE NI KAMA ANAWAKE NA HELA AU SAMAKI NA MAJI ANAWEZA AFANYE CHOCHOTE
WAZEMBE SANA NYIE WASUKUMA
Sawa kafirUzuri wao rangi sauti etc ubaya wao ndani roho ya mauji ukiwa na mali
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahaha
Mshikaji wangu anaitwa@Big BootyLover.hahaha ngoja nim'tagMuiteni yule jamaa wa kuulizia chura!
@behaviorst