Nimenyosha mikono tz nzima watoto wakali wako moshi Kilimanjaro

Nimenyosha mikono tz nzima watoto wakali wako moshi Kilimanjaro

Unatudhalilisha sie tusiotoka Moshi etiee??!! Mwenyewe Moshi ndio mji wako wa kwanza tu kutembelea tangu umetoka kijijini kwenu Kintinku ndio unatuletea kauli za kishamba hapa. Hiyo sensa umeifanya mikoa mingapi mpaka ufikie conclusion hiyo?
Darling punguza kuwa serious na kila kinacholetwa Jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazur ndio heshima nyingi nyege sifuri, sifur kabisa

Yani nikwambie tu huko kupata anaejua mapenz ni ngumu hatar.

But kama unafata maumbile na sauti, ok fresh.
Aman iwe kwenu wapendwa

Kwanza kwa kuondoa utata Mimi siyo Wa Kilimanjaro Mimi ni msukuma Wa mwanza lakin Niko huku Kilimanjaro tumekuja huku na mjomba kusalimia wakwe zake maana kaoa huku

Twende kwenye maada

Alooo ngosha wenzangu huku kuna watoto weupe kishenz wana saut nzur hizoo aloo aloo usipime Mimi nimenyosha mikono ndugu zangu watoto ni twiga warefu kama Wa kwetu usukuman sema hawa ni weupe sana

Yaan wanavyoniita ndo nachoka kabisa naitwa baba Yangu aisee Mimi nitahamia tu huku jaman

Siku nikikutana na mtu akawa anawaongelea vibaya watoto Wa huku Kilimanjaro nitapigana Naye. Kwanza hapa alipoa mjomba hii familia ni weupe kama waarabu Wa kayenze, kuna mtoto mmoja nimemzimikia hapa kashanipa na namba lazima niache alama huku

Nimetembea mikoa mingi lakin huu mkoa nimenyosha mikono yaan nimewavulia kofia kabisa

Wachaga mumebalikiwa kuwa na wasichana wazur weupe hongeren sana ngosha lazima nitakuja kuoa kwenu

LONDON BOY

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee huyo jombi yako hamnazo anaenda kula sikukuu kwa wakwe badala ya kwenda kwao mwanza? Hata hayo watoto wake watabase zaidi upande wa mama, wasukuma mtaacha lini ushamba aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatudhalilisha sie tusiotoka Moshi etiee??!! Mwenyewe Moshi ndio mji wako wa kwanza tu kutembelea tangu umetoka kijijini kwenu Kintinku ndio unatuletea kauli za kishamba hapa. Hiyo sensa umeifanya mikoa mingapi mpaka ufikie conclusion hiyo?
Kama unajiamini njoo pm
 
Hahahaha
tapatalk_1540938074223.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom