Nimeoa Bibi wa miaka 60 mimi ni under 30. Je, ni sahihi?

Nimeoa Bibi wa miaka 60 mimi ni under 30. Je, ni sahihi?

holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
1,859
Reaction score
2,986
Wakuu

Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu

Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.

Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara

Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.

KARIBUNI
 
Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu

Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.

Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara

Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.

KARIBUNI

images (1).jpeg
 
Either you are a gold digger or you need counselling regarding your mental health.
Umemuita kwamba ni Bibi kizee kwa hiyo unakiri huyo ni umri sawa na mama yako aliyekuzaa. Unawezaje kumuoa mama aliye na umri sawa na mzazi wako kama siyo kujitafutia laana?
 
Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu

Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.

Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara

Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.

KARIBUNI
Kwa kuwa ulipenda ni sahihi ila cha kufanya ni kuwa muwazi kwasasa. Mwambie ukweli kuwa unahitaji kuwa na mtu mwingine ambaye atakuwa wa level yako atakusaidia pia kupata na watoto ili uache chochote kitu bila hata ya kuachana nae huyo bibi
 
Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu

Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.

Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara

Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.

KARIBUNI
Kabla ya kuzungusha feni ungetuomba ushauri kwa sasa umechelewa
 
Either you are a gold digger or you need counselling regarding your mental health.
Umemuita kwamba ni Bibi kizee kwa hiyo unakiri huyo ni umri sawa na mama yako aliyekuzaa. Unawezaje kumuoa mama aliye na umri sawa na mzazi wako kama siyo kujitafutia laana?
Nope sio Gold digger (This is for women), anyway kwa context yake this dude is a GIGOLO...
 
Either you are a gold digger or you need counselling regarding your mental health.
Umemuita kwamba ni Bibi kizee kwa hiyo unakiri huyo ni umri sawa na mama yako aliyekuzaa. Unawezaje kumuoa mama aliye na umri sawa na mzazi wako kama siyo kujitafutia laana?
natania mkuu,si kweli.
 
Back
Top Bottom