holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI