Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Karibuni sana mle mema ya nchiNakuja kutoka kigamboni hadi buza sio mbali sana 😎😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibuni sana mle mema ya nchiNakuja kutoka kigamboni hadi buza sio mbali sana 😎😎
Naam na hii hali ya hewa inashawishi mno 😀Karibuni sana mle mema ya nchi
Mitaa yenu nyie watoto wakali msio na show mbovu.Mitaa yangu au mitaa ya watoto wakali?😂😂
wale hata buku wanachukua, hata kama huna ukimuambia nipe mzigo unapewa kwa mkopo, lakini hawa wadogo wanataka milioni/laki, hata elfu kumi na elfu tano hawataki, wanajiona ni vigori wa kupendwa na wengiNi sahihi kabisa Mkuu.
Kwanza Hawa wa Umri mkubwa hawasumbui..
Wewe umezoea vya kunyonga, vya kuchinja utaviweza kweli?kwa hiyo namimi nije au niendelee na bibi wangu
mada zangu zote ukifuatilia zote huwa nazileta hapa jukwaani kama changamsha genge tu mkuu Binti Sayuni03Kama ni kweli wewe ni hatari sana
Hapo sawa mkuumada zangu zote ukifuatilia zote huwa nazileta hapa jukwaani kama changamsha genge tu mkuu @Sayuni03
Na mauno ya maridhiano si yapo?Age is just a number…Joto si analo ndani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had basi,
We dogo, acha kudangaWakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
Dogo anazingua..We dogo, acha kudanga
Unalelewa siyo?Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI