Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Arghh aisee🤣😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arghh aisee🤣😂
Kijana 25 ana Sana heshima kwa mwanae mwenye 36😂🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had basi,
Baba wa kambo analeta noma, na mtoto wa kambo analeta mzuka.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Juve si ndio vibibi vizee vya Torino 🤣🤣🤣🤣... Kwahiyo nae ameoa JuveKwamba huyo bibi kizee ni mwana juve🤣😂
Najua sana 😂 🤣Juve si ndio vibibi vizee vya Torino 🤣🤣🤣🤣... Kwahiyo nae ameoa Juve
Kwa kuwa umeshaoa ni sahihi.Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
Jaribu #kuolewa na mzee wa miaka hiyo hiyo ili ucompee faida na hasara!Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
Huyo anapaswa kuwekwa chamani kwa maana ni wazi amekwepa majukumu ndio maana ameamua kuvuta Juve aishi nae😂😂😂Najua sana 😂 🤣
Upi umeshapatia ila mwambie uoe mke mdogo awazalie basi mengine endelea nayeWakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
Huo usajili hapana, aka kae kwa waimba taarab tu 😆 😂Huyo anapaswa kuwekwa chamani kwa maana ni wazi amekwepa majukumu ndio maana ameamua kuvuta Juve aishi nae😂😂😂
Kiuno kipana sana, reddish skin na bila shaka hana trailer, let alone a trailer park. Atakuwa na asili ya Asia huyo, Indian. Kwa mtu mwenye standards wala hakuna hasara hapo.
Kwa hali hii weh hakunagaKijana tafuta hela uinjoy papuchi za vijana wenzako. Acha kudanga kwa wabibi, umeelewa?
Huko ndio wataelewana vizuri sio😂😂Huo usajili hapana, aka kae kwa waimba taarab tu 😆 😂
Maana Ata turushia stimu tu, mi nawaza ugali yeye ana wazia juve 🤣Huko ndio wataelewana vizuri sio😂😂
''ananijari na kunipa kila kitu'' Hii ndiyo sifa kuu ya Mishangazi na ndicho ulichofuata kwake!Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
Huyu Holoholo anatuangusha sana !Wanaume siku hizi wanadanga kama hawana akili nzuri.
🤣🤣🤣🤣Hapo lugha lazima zigongane, na ukizingatia hao hawanaga likizo so akiamua kukabia kwa juu ni siku 365/366 kinapigwa.Maana Ata turushia stimu tu, mi nawaza ugali yeye ana wazia juve 🤣