ChalaX Nyato
Member
- Aug 24, 2024
- 92
- 167
Ni sahihi Mkuu, Hongera yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama siyo kutafuta kiki ya wachangiaji, huna akili. Kawaulize wazazi wao waliotengeza bomu. Du! Huyo si ni bibi wa mama yako mwanangu? Hata mie pamoja na kumzidi umri, siwezi kufikiria achilia mbali kuoa hata kuota.Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
futa hii pleaseSi ukiingiza inaingia? Tulia ujilie vyako. Chai hii ongeza maziwa kidogo, sukari haina.
natafta kiki tu mkuu!Kama siyo kutafuta kiki ya wachangiaji, huna akili. Kawaulize wazazi wao waliotengeza bomu. Du! Huyo si ni bibi wa mama yako mwanangu? Hata mie pamoja na kumzidi umri, siwezi kufikiria achilia mbali kuoa hata kuota.
Sahihi kabisa.Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
hahahahahaha! Katika jamii ipi mkuu inaruhusu maswala ya kijana kuoa bibi ake? Jamii ya kawaida na inayofuata misingi ya malezi bora haiwezi kufumbia macho upuuzi kama huu. Kijana nina wazazi,walezi,ndugu na jamii inayonizunguka, nikifanya jambo la aibu na kipuuzi namna hii natoa taswira gani kwa jamii hasa vijana wenzangu wanaoniangalia mimi kama kioo chao? Jamii inatakiwa ibadilike,ienende katika maadili ya kiafrika ya heshima hofu ya Mungu,vinginevyo tunaelekea kubaya na kuangamia. mimi holoholo nilileta thread hii kuona wadau wanasemaje juu ya huu ujinga,nikitarajia watalikemea kwa nguvu zao kama wanavyoupiga vita ushoga,wizi,nk badala yake ndo kwanza wengine wananiambia ni vizuri,niendelee na kejeli zingine za hapa na pale. sina tabia hiyo mkuu. samahani kama ulinichukulia kuwa mimi ni mpuuzi wa kuoa bibi yangu. Tate Mkuu Binti Sayuni03We jamaa itakua umaskini umetafuna ubongo wako sio bure holoholo
Hebu aje mtu mmoja AMUULIZE HUYU JAMAA MAMA YAKE ANA UMRI GANI?Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI
Kikubwa hautopata mtoto .... Maana mtoto ni wewe mwenyewe upo na mama yako ....Ni sahihi kabisa Mkuu.
Kwanza Hawa wa Umri mkubwa hawasumbui..
Piss kama hzi anamwachia nan..? Mpaka anaenda kwa bib ake. Uvivu tu unamsumbua ndgu yetu analelew
SASA KWANIN UTUCHOSHE KUFIKIRI NA HADITHI ZA KUTUNGA?hahahahahaha! Katika jamii ipi mkuu inaruhusu maswala ya kijana kuoa bibi ake? Jamii ya kawaida na inayofuata misingi ya malezi bora haiwezi kufumbia macho upuuzi kama huu. Kijana nina wazazi,walezi,ndugu na jamii inayonizunguka, nikifanya jambo la aibu na kipuuzi namna hii natoa taswira gani kwa jamii hasa vijana wenzangu wanaoniangalia mimi kama kioo chao? Jamii inatakiwa ibadilike,ienende katika maadili ya kiafrika ya heshima hofu ya Mungu,vinginevyo tunaelekea kubaya na kuangamia. mimi holoholo nilileta thread hii kuona wadau wanasemaje juu ya huu ujinga,nikitarajia watalikemea kwa nguvu zao kama wanavyoupiga vita ushoga,wizi,nk badala yake ndo kwanza wengine wananiambia ni vizuri,niendelee na kejeli zingine za hapa na pale. sina tabia hiyo mkuu. samahani kama ulinichukulia kuwa mimi ni mpuuzi wa kuoa bibi yangu.
SAWAbado tunao vijana wa namna hiyo mkuu, ambao wanahitaji elimu ya jamii ili kurudi katika maadili ya kiafrika. Jf ni jukwaa huru hivyo kila jambo litawekwa kulijadili.
Nashauri vichwa vyote viwili vichapwe fimbo za maana. Uvivu wa kutosha. Basi aponee hata humuPiss kama hzi anamwachia nan..? Mpaka anaenda kwa bib ake. Uvivu tu unamsumbua ndgu yetu analelew
Mara mia ukaponea kweny pis mbovu ila utelez mbichi, kuliko ile laanaNashauri vichwa vyote viwili vichapwe fimbo za maana. Uvivu wa kutosha. Basi aponee hata humuView attachment 3267384
Nipasie mimi awe mke mdogoWakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu
Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.
Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara
Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.
KARIBUNI