Nimeoa Bibi wa miaka 60 mimi ni under 30. Je, ni sahihi?

Nimeoa Bibi wa miaka 60 mimi ni under 30. Je, ni sahihi?

Wakuu
Nimejikuta nazama penzini na bibi kizee wa miaka 60,ambaye mume wake alifariki miaka mitano iliyopita, ananijari na kunipa kila kitu

Maswala ya kitandani hata binti wa under 20 akasome,kiuno kinazungushwa kama feni.

Baada ya wenge la mapenzi kuisha,nimejikuta natafakari kuwa,kuwa na mzee hivi kimapenzi kuna faida ama hasara

Nipo katika wakati mgumu sana naombeni msaada wenu.

KARIBUNI
Juventus... Watoto mtapataje sasa hapo?, hata hivyo hongera kwa kuwa jasiri.
 
If a woman who's older than you respects and cherishes you, please, still don't marry her brothers.

The truth is that you can not be wiser than the old dragon.

Do you think she's being submissive because that is her true nature? Don't be that stupid..

Ask yourself why all her exes couldn't end up with her as husbands, or do you think all the men who came into her life are wrong and she's right.

There is a reason, it's so unfortunate that you are too naive to see that.

She's only being submissive so you can find her worthy to wife her.

She has learned nothing from her past; she just upgraded a subtle way to deceive men into making them believe she's the right woman for them.

The old snake is still the old snake; she just shades off her skin to look new.

Be wise.

All you see is not all there is.

Avoid women who are older than you.

In her prime, she would never have accepted a man her age or slightly older than her. Now she's in her decline, and she's trying to do everything within her power to seure a man.

The truth is the truth.

Walkway now, don't marry her.

Go for a woman you are older than, the marriage successful rate is higher.

Adam was before Eve is.

Don't defile the natural order. Love is not stupidity.
 
Back
Top Bottom