Kijukuu cha ngoyayi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 1,384
- 2,880
Una Pepo km langu we chaliii 😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjina ila mbona kama wewe ni mishe zako?Ndoa ina over 5 years kaka. Sikua na hizo hisia kipindi cha nyuma. Ni kuanzia mwezi March ndo hii hali imenianza
Kupishana ni kawaida lkn kama hakuna madhara ya kihisia ya mda mrefuTuko vizuri sana. Japo kupishana mara moja moja kupo
ndio huo ni ugonjwa ambao unaitwa umalaya,ni ni hulka ya wanaume wengi,ni ugonjwa mbaya sana ambao,utakuletea matatizo mengi,miongoni mwao ni:-maradhi,magomvi na mkeo,matumizi mabaya ya fedha,sasa ni uamuzi wako kuchaguaWakuu kwema?
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza.
Mimi nimeoa, mke mzuri na mrembo hasa. Ila cha kushangaza, ktk kipindi cha miezi miwili hivi, nimejikuta natamani sana pisi za pembeni, hata kama hazina urembo kumzidi mama watoto.
Huu ni ugonjwa au nini wakuu? Maana hadi wake za watu wengine nakuwa nawamezea mate.
Hii situation naiepukaje wakuu.?
Ni umalaya tuWakuu kwema?
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza.
Mimi nimeoa, mke mzuri na mrembo hasa. Ila cha kushangaza, ktk kipindi cha miezi miwili hivi, nimejikuta natamani sana pisi za pembeni, hata kama hazina urembo kumzidi mama watoto.
Huu ni ugonjwa au nini wakuu? Maana hadi wake za watu wengine nakuwa nawamezea mate.
Hii situation naiepukaje wakuu.?
Kaka Hilo linaitwa jini mahaba. Linatesa sanaWakuu kwema?
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza.
Mimi nimeoa, mke mzuri na mrembo hasa. Ila cha kushangaza, ktk kipindi cha miezi miwili hivi, nimejikuta natamani sana pisi za pembeni, hata kama hazina urembo kumzidi mama watoto.
Huu ni ugonjwa au nini wakuu? Maana hadi wake za watu wengine nakuwa nawamezea mate.
Hii situation naiepukaje wakuu.?
Utoto tuuWakuu kwema?
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza.
Mimi nimeoa, mke mzuri na mrembo hasa. Ila cha kushangaza, ktk kipindi cha miezi miwili hivi, nimejikuta natamani sana pisi za pembeni, hata kama hazina urembo kumzidi mama watoto.
Huu ni ugonjwa au nini wakuu? Maana hadi wake za watu wengine nakuwa nawamezea mate.
Hii situation naiepukaje wakuu.?
HujapevukaWakuu kwema?
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza.
Mimi nimeoa, mke mzuri na mrembo hasa. Ila cha kushangaza, ktk kipindi cha miezi miwili hivi, nimejikuta natamani sana pisi za pembeni, hata kama hazina urembo kumzidi mama watoto.
Huu ni ugonjwa au nini wakuu? Maana hadi wake za watu wengine nakuwa nawamezea mate.
Hii situation naiepukaje wakuu.?
Hakika...Ungekuwa ni ugonjwa basi nchi ingejaa wagonjwa tupu.
Siyo ugonjwa huo ndiyo uanaume na unapaswa ushindeWakuu kwema?
Kichwa cha habari hapo juu kinajieleza.
Mimi nimeoa, mke mzuri na mrembo hasa. Ila cha kushangaza, ktk kipindi cha miezi miwili hivi, nimejikuta natamani sana pisi za pembeni, hata kama hazina urembo kumzidi mama watoto.
Huu ni ugonjwa au nini wakuu? Maana hadi wake za watu wengine nakuwa nawamezea mate.
Hii situation naiepukaje wakuu.?