Nimeokota mayai ya bundi

Nimeokota mayai ya bundi

Ukila unakua na akili sana mayai ya bundi ni mazuri yanaongeza nguvu za kiume😂
 
Habarini wakuu, poleni na mihangaiko.

Leo katika pita pita zangu shambani nimebahatika kuokota mayai ya bundi. Kwa wajuvi wa mambo nawiwa kuuliza hivi mayai ya bundi huliwa?

Au kama Kuna mtu anayataka kwa shughuli zake binafsi anitafute.

Wazo lililopo kichwani ni kwenda kuuza kwa waganga wa jadi. Naomba kuwasilisha!

#Rip Bandari
Aisee
 
Mrejesho


Mimi Nina nyumba yangu porini ,naitumia msimu Wa kilimo .

Kwa mda mrefu sikua nimeenda lkn najua kua bundi hua analala humu,na mara nyingi nlikua namkuta alfajiri nikiwai shamba


Aisee Leo katika kupekua pekua nakutana na bundi kakaa mkao WA kuatamia baada ya kumtimua ndio nagundua kumbe alikua kaatamia mayai
 

Attachments

  • IMG_20230801_171622_811.jpg
    IMG_20230801_171622_811.jpg
    934.6 KB · Views: 6
Dunia ya sasa habari bila picha/video clip sawa na takataka tu
 
Mayai
 

Attachments

  • IMG_20230803_164207_891.jpg
    IMG_20230803_164207_891.jpg
    947.6 KB · Views: 5
Back
Top Bottom