Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Hivi alifanya nn? Ujue nimerudi hewani nakuta kala ban.Hapo sawa, nimekuelewa ankoli...ila anko ongea na mamods bhana wamrudishe Gily nimemmis ujue😥😥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi alifanya nn? Ujue nimerudi hewani nakuta kala ban.Hapo sawa, nimekuelewa ankoli...ila anko ongea na mamods bhana wamrudishe Gily nimemmis ujue😥😥
Amna, tunampa hali halisi 😅🤣🤣🤣🤣Vijana mmenza fix zenu
Aliwainvite watu kuja kule,, wamempa ban ya mda mrefu 😥..unaisha mwezi saizHivi alifanya nn? Ujue nimerudi hewani nakuta kala ban.
,🤣dah umeniacha hoiAmna, tunampa hali halisi 😅
Duh, ni ya muda gani?. Maana sijawasiliana nae tokea June nilivyodisappear humuAliwainvite watu kuja kule,, wamempa ban ya mda mrefu 😥..unaisha mwezi saiz
😅😅😅 Uko poa lakini big dada?,🤣dah umeniacha hoi
Nahisi ni life time anko 😥😥😥Duh, ni ya muda gani?. Maana sijawasiliana nae tokea June nilivyodisappear humu
Duh mbona wanakaza hivyo? 😢Nahisi ni life time anko 😥😥😥
Yani🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️Duh mbona wanakaza hivyo? 😢
Kule anapatikana?Yani🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️
Yeah kule yupoKule anapatikana?
Sawa mpwaYeah kule yupo
Pamoja sana😊🤗Sawa mpwa
Tena kayaokota chiniamejuaje ni mayai ya bundi??
hayo yatakua ya nyoka bundi anataga kwenye kiota mtini
AiseeHabarini wakuu, poleni na mihangaiko.
Leo katika pita pita zangu shambani nimebahatika kuokota mayai ya bundi. Kwa wajuvi wa mambo nawiwa kuuliza hivi mayai ya bundi huliwa?
Au kama Kuna mtu anayataka kwa shughuli zake binafsi anitafute.
Wazo lililopo kichwani ni kwenda kuuza kwa waganga wa jadi. Naomba kuwasilisha!
#Rip Bandari