Nimeokota mayai ya bundi

Nimeokota mayai ya bundi

Habarini wakuu, poleni na mihangaiko.

Leo katika pita pita zangu shambani nimebahatika kuokota mayai ya bundi. Kwa wajuvi wa mambo nawiwa kuuliza hivi mayai ya bundi huliwa?

Au kama Kuna mtu anayataka kwa shughuli zake binafsi anitafute.

Wazo lililopo kichwani ni kwenda kuuza kwa waganga wa jadi. Naomba kuwasilisha!

#Rip Bandari
Yanaliwa?...
 
Habarini wakuu, poleni na mihangaiko.

Leo katika pita pita zangu shambani nimebahatika kuokota mayai ya bundi. Kwa wajuvi wa mambo nawiwa kuuliza hivi mayai ya bundi huliwa?

Au kama Kuna mtu anayataka kwa shughuli zake binafsi anitafute.

Wazo lililopo kichwani ni kwenda kuuza kwa waganga wa jadi. Naomba kuwasilisha!

#Rip Bandari
Nipatie nikaangie chips

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom