Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Na huo 👆 👆 ndo ushuhuda kwa hili linaloombewa eti tumpe ushauri.Mke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huo 👆 👆 ndo ushuhuda kwa hili linaloombewa eti tumpe ushauri.Mke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe.
Ni shida kweli kweli. Hapo utakuwa ksshampiga mumewe matukio. Upendo wa kweli ni adimu sana siku hizi maana ndani ya upendo wa kweli kuna tunda la uvumilivu.Na huo 👆 👆 ndo ushuhuda kwa hili linaloombewa eti tumpe ushauri.
Mmh!? Hapo kuna tatizo zaidi ya hilo ulilolileta hapa. Hebu jitahidi kuzingatia yaliyosemwa ktk komenti # 88 SatisfyKazi anapata anaenda kama wiki mbili hivi anaacha mwisho wanamtimua na ni jeuri sana hataki hata kuelekezwa huko kazini anataka afanye anachotaka yeye.hadi anapigana.
Huyo mume n mvumilivu sana tena inaonekana ana msongo mkubwa wa mawazo kuhusu kinachondelea baina yake na huyo mke wake. Huyo mke angetulia na kuchukua hatua chanya za namna ya kumsaidia huyo mume badala ya kumzidishia maumivu kwa kumnyima chakula, kutomfulia nguo hadi kumtelekeza chumba cha peke yake. Huo ni ukatili na unyanyasaji. Mke amekosa uvumilivu na moyo wa huruma. Hana hofu ya Mungu rohoni mwake.Ni shida kweli kweli. Hapo utakuwa ksshampiga mumewe matukio. Upendo wa kweli ni adimu sana siku hizi maana ndani ya upendo wa kweli kuna tunda la uvumilivu.
Hatuteteani aisee. Nyumba (Familia) yenye uwepo wa mwanaume ina heshima yake. Huwezi kukuta nyumba yenye mwanaume "inatembelewa" kimasihara au kusemwa hovyo - Never. Lakini tazama nyumba isiyo na mwanaume- Utasikia "aaah hapo ni kwa cha wote" au utasikia "Woi, hapo linaishi jimama papa fulani hv."Mianaume sasa inavoteteanaaaa