tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hujanisoma Miss Chagga. rudia tena. hakuna mahali pa tigo ila akijilia vyake ale hadi ashibe ili kumepusha na vinjaa njaa vya kuwa na macho mbalbu shingo ....Kwa hiyo unamshauri mtoa mada aliwe tigo na mmewe, coz umesema kwenye lile tendo asiweke ulokole yani wafanye mpaka washibe kabisa..samahani lakini miss chagga
Hahahaaa..... basi anamtihani mgumu sana, ajitahidi pia kumpata mwana Saikolojia kwa ushauri zaidi.Hapo jambo la muhimu ni kubadili njia tu na kumuona huyo kichaa kama "takataka" (japo ulokole unafundisha upendo kati yetu).
Usiwe Mwalimu wewe, Bali mumeo (kama unaye wa ndoa) ndiyo awe Mwalimu!Inawezekana pia huridhishwi na mmeo tamaa imewaka kwako sana .Huyo kichaa atakubaka jitahidi kubadili njia au kujiweka mbali nae next time akija getini mmeo ndiye afungue amfokee au kumtishia huyo kichaa ataona hayo sio mazingira rafiki tena kwake.
wanilipe lakini
Ushauri mwingine mh! Ni sawa na kuruka majivu na kukanyaga mkaa wa moto! Kumbuka huyu ameokoka!Nunua dildo.
Ukajitimizie mahitaji yako mwenyewe
Kwa raha zako bila ya mtu kujua.
Na kujiepusha na majanga yote haya .
Ushauri mwingine mh! Ni sawa na kuruka majivu na kukanyaga mkaa wa moto! Kumbuka huyu ameokoka!
Inawezekana pia kuwa ameshindwa kuhimili kashfa ya baadhi ya watu kama vile "mumeo ana kibamia"Ukiona mtu katupia thread lakini hashiriki comments wala kujibu hoja za watu, most likely ni muongo na alichoandika ni chai ya mchaichai tu.
Kuokoka ni kutubu dhambi kwa maana ya kuziacha na kumpokea Yesu moyoni kama Bwana na mwokozi wako. Yesu ana uwezo wa kusamehe dhambi na kukusaidia kuziacha.Kuokoka ndio nini ??
Kutumia dildo ni dhambi! dhambi ya uzinzi! Ni kuzini na sanamu!Kuokoka ndio nini ??
Halafu nyie walokole nuksi kweli kweli. Ndio maana mnazaa ovyo.Wadau shalom,
Tunaelekea miezi 2 sasa tangu tuamie kwenye nyumba yetu, ni sehemu ambayo bado haijajengwa sana, nyumba nyingi bado hazijaisha ni masaiti yanayokaliwa na walinzi, mimi na mr wote tumeokoka pamoja na familia kwa ujumla, tunampenda Yesu.
Sasa katika moja ya masaiti haya kuna jengo moja halijaisha ni kama halina wakazi vile, ila hukaa kichaa mmoja anaekula majalalani na kushinda uchi, na hapo ndio njia yangu ya kupita kila siku, kila nikipita hapo hasa jioni sana nikitoka kazini huwa namkuta kichaa huyu akiwa anajichua bila aibu, anatema mate mkononi na kujipaka nyeti huku akilia kwa sauti kubwa.
Sasa nimeshtukia nashikwa hamu na hisia kali za kutaka kukutana na kichaa huyo, hasa nikimuona uchi, maana ana nyeti kubwa mno zenye kichwa kikubwa mno, hali hii inaweza kunikuta hata nikiwa kazini endapo nitamuwazia yule kichaa.
Sasa sijui ni kwasababu ya kumtazama sana au la nimeshtuka kumuona akianza tabia ya kuniita kwa ishara na kunioneshea nyeti zake, haishii hapo ameanza kufika na kwangu na kugonga geti, wakienda kufungua wanakuta ni yeye na haongei chochote anasimama tu hapo hata saa nzima ndipo anaenda na ni kila siku, mr anasema muacheni tu kwani ana madhara gani.
Ile hali ya kumtamani ndio naona kama inazidi siku hadi siku.
Je hili ni pepo au nini?Nimeomba sana lakini wapi.
Nifanye nini kuondokana na hali hii? Ili isije ikaleta matatizo yasiyotarajiwa.Nimeamua kulileta huku hili tatizo maana huku hamna kufahamiana.
Asanteni
Anakusamehe dhambi zipi wakati alikufa kwa dhambi zote?Kuokoka ni kutubu dhambi kwa maana ya kuziacha na kumpokea Yesu moyoni kama Bwana na mwokozi wako. Yesu ana uwezo wa kusamehe dhambi na kukusaidia kuziacha.