Nimeolewa ila sijui ni kwanini namtamani sana huyu kichaa

Aisee! Naona size ndio tatizo. Lakini kumbuka mumeo akijua hiyo reason utamfedhehesha na kimuathiri kisaikolojia.
 
umesema umeokoka lakini inaonekana bado wewe ni pepo,je katika maombi hayo huwa unamshirikisha mumeo au unaomba kimya kimya mwenyewe,kama kweli umeokoka mshirikishe mumeo kwenye maombi yako
Nimehisi kama we ndio pepo maana hata hekima huna,huwazi mwenzie atakavyojiskia?unaijua biblia vizuri kuhusu habari ya kiasi?Dada kama unaitaka bado hiyo ndoa acha mawazo ya kijinga.huo ni ujinga shetani anakuchekelesha uone kitu cha maana ukiabika utachekwa nahuyohuyo anaekutuma
 
Yaani unapita na kumkuta anajichua unaanza kumshangaa!!!....angekubaka???....kwanini hukubadili njia???....shetani anataka kukuangamiza....
 
We sio muoaji bana
Mhhh! haya bwana. ukiona na ukapima endapo utaoa ukahisi benefits<loss "ACHA". Au tunaoa kwasababu ya umri unakimbilia uzeeni? sasa nakuambia mwaka huu haupiti nitaanza kulala na shemeji yako kitanda kimoja!!!
 
vichaa wa kike mjini hutiwa mimba na watu wenye "akili timamu". hivyo sishangai na wewe mwenye "akili timamu" kumtaka huyo "mwenzio".
by the way, nahisi na wewe ni "kichaa" pengine chako kimezidi zaidi kuliko huyo unayrmtamani japokuwa wewe huvui nguo.
 
pole sana shoga ila kwanza nijibu, hivi wewe huna kichefuchefu? Utafanyaje kumsafisha? Kumyoa etc? Mbona mimi mm mwanaume ata kama ana cheo gani nikikuta ana ka dalili ka uchafu iwe nywele yeyote tofauti nakichwani mbona nahailisha zoezi, shoga wewe utaweza kwa kichaa huyo? Si ananuka???
 
Mhhh! haya bwana. ukiona na ukapima endapo utaoa ukahisi benefits<loss "ACHA". Au tunaoa kwasababu ya umri unakimbilia uzeeni? sasa nakuambia mwaka huu haupiti nitaanza kulala na shemeji yako kitanda kimoja!!!
We mwenyewe mbovu unatafuta mke mwema wa nini?unaogopa wanawake kwani wote wapo sawa?mbona we short coming kibao hapo bado watu wanakuvumilia?we sio muoaji kaa kando,
 
Nunua dildo.
Ukajitimizie mahitaji yako mwenyewe
Kwa raha zako bila ya mtu kujua.

Na kujiepusha na majanga yote haya .
Amekwbia anapata shida na nueti ya kichaa sio upuuzi wako huo.
 
Nawe jifanye kichaa umfuate kwenye hilo jumba ukampe ili nafsi yako ilidhike
 




Harisha tu mpendwaa kwani si unafua mwenyewe[emoji6] [emoji6] [emoji6]
 
Labda tusaidie jambo moja,kwanini mlokole anaolewa?ni kwasababu zilezile ambazo mtu asie mlokole anaolewa sasa laajabu nini kuokoka na kutamani?shetani amewekwa kutujaribu na kutupepeta kama ngano na makapi,unasababu gani ya kimbeza ikiwa kinachomtokea hata mtu yoyote kinamtokea?
 
Pole sana, pili tengeneza mazingira ya kumchukia huyo kichaa kulingana na uchafu hata mwonekano na uamue kwa nafsi moja ya kutokumtizama. Kingine unapaswa kufanya ni kutengeneza njia nyingine ya kupita.
 
Wanasema kila mtu ni kichaa ila tunatofautiana tu.
 
Inawezekana pia huridhishwi na mmeo tamaa imewaka kwako sana .Huyo kichaa atakubaka jitahidi kubadili njia au kujiweka mbali nae next time akija getini mmeo ndiye afungue amfokee au kumtishia huyo kichaa ataona hayo sio mazingira rafiki tena kwake.
Hivi huyo kichaa atambaka au atampa kwa ridhaa yake ,mtu kashaweka wazi kichaa ana dushe lenye kichwa kikubwa ,kama kapenda kwa kuona kwa macho ataacha kuipenda vipi kikimuingia kwa vitendo ?
 
Nahisi wewe pia utakuwa kichaa, la kichaa kinakunyemelea. Haiwezekani haya yakawa ni mapepo tu.
 
Pole sana, pili tengeneza mazingira ya kumchukia huyo kichaa kulingana na uchafu hata mwonekano na uamue kwa nafsi moja ya kutokumtizama. Kingine unapaswa kufanya ni kutengeneza njia nyingine ya kupita.
Hapo jambo la muhimu ni kubadili njia tu na kumuona huyo kichaa kama "takataka" (japo ulokole unafundisha upendo kati yetu).
 
Ukichunguza vizuri dada yangu utagundua kuwa wewe ndo kichaa ...ila yeye mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…