Nimeomba namba ya simu kwa binti akanijibu hana simu

Kuna mawili aidha hataki kukupa namba yake au anataka umnunulie sim anakujaribu 😀
 
Amekusaidia sana, pesa ya vocha kula kiepe yai bro isitoshe atakuwa anakufahamu uhusikaji wako katika ile nyimbo ya ivon machaka sangoma.
 
Mzee haya unayoandika ni matusi kwa graduates wengi, mtu hana pakuanzia life leo unasema anunue simu za $500 si mtaji huo![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mzee haya unayoandika ni matusi kwa graduates wengi, mtu hana pakuanzia life leo unasema anunue simu za $500 si mtaji huo![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaofaidi mapenzi siku hizi ni wastaafu wengine tunafukuza mwenge tu
 
Mzee haya unayoandika ni matusi kwa graduates wengi, mtu hana pakuanzia life leo unasema anunue simu za $500 si mtaji huo![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni hatua ya maisha ambayo wote tulipitia [emoji23]...kijijini kuna blaza alikula sana mademu wetu kisa tu alikuwa na kaduka. Kamgahawa na baiskeli 5 za kukodisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…