Nimeomba namba ya simu kwa binti akanijibu hana simu

[emoji3][emoji3][emoji3]
 
hahaha namba! sio simu
[emoji3][emoji3] mi huwa nawaambia nataka namba sio simu.. akikaza nampa business card.

Asiponitafuta sawa na akinitafuta ni uhakika [emoji817]% lazima aliwe.
 
Tafuta hela. watakuomba namba wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…