yellow eyes
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 2,897
- 3,336
Asa wewe labda umefikiria nini? Na istoshe yeye amekuona ni kama babaake ndo maana amekuja akihtaj msaada huo!
We mkuu unawaza ngono tu akilini mwako, nyie ndo hamchelewi kusema watoto wa siku hizi! Ukiendelea kuwa na mawazo fyatu kama hayo utaishia gerezani.
We mkuu unawaza ngono tu akilini mwako, nyie ndo hamchelewi kusema watoto wa siku hizi! Ukiendelea kuwa na mawazo fyatu kama hayo utaishia gerezani.