Nimeombwa hela na mwanafunzi

Nimeombwa hela na mwanafunzi

Sema nin mkuu lazima ustuke? From no where kakunyookea tu bila hata ya kukujua then anakuomba mia tano dah!! Hata mim ningestuka ila ningechukulia poa tu...
 
Asa wewe labda umefikiria nini? Na istoshe yeye amekuona ni kama babaake ndo maana amekuja akihtaj msaada huo!

We mkuu unawaza ngono tu akilini mwako, nyie ndo hamchelewi kusema watoto wa siku hizi! Ukiendelea kuwa na mawazo fyatu kama hayo utaishia gerezani.
Hata kama, lkn hii inahitaji tafakuri kdg kwa mustakabali Wa ustawi wake
 
Mtaishia kuongea na mizimu na kuona yenu hayaendi.. kwa kutoa pesa ovyo. Bora hukumpatia hiyo 500.. 5.. ukampa 2000. Ila uangalifu muhimu..
 
Yaani umeombwa hela na mtoto mdogo halafu unashangaa?!! Kwani ni ajabu watoto kuomba hela?!Una akili timamu mkuu?
Yeye anawaza kugegeda tu.Sasa huyo Denti huwa anakuona Na.ni jirani.Njaa imemuua asikuombe? Tena tena tena Elfu 10 kila wiki mpaka kambi ya kusoma itakapoisha pia Na wewe ndo mchango wako
 
Habarini!
Kuna jambo limenitokea, linanipa maswali na mshangao kiasi.

Ninakaa jirani na shule, jirani sana tu. Ni mtu mzima mimi.......35 yrs. Kwa sasa shule nyingi zipo ktk makambi kwa vidato vya 2 na 4, hii ni mojawapo pia.

Jioni ya leo, nikiwa sina hili wala lile nimepumzika tu nasikia hodi ikigongwa. Nilipomruhusu aingie bs alikuwa n mwanafunzi flan wa kidato cha pili.......aliamkia na kisha akaniomba tshs 500/=. Nilipigwa na bumbuazi kupita maelezo lkn nikajifanya sina nilichokishangaa. Nikamuuliza unataka kununua nn akajibu anataka kununua samaki alie ugali (akilini nilitegemea nisikie peni au daftari). Nikampa tshs. 2000/=. Aliipokea haraka, akashukuru kisha huyo haraka akaondoka.

Bandugu, tangu muda huo nimetafakari mara kutafakari ujadiri wa huyo binti bado sijapata majibu mpaka nimemua nifanye sharing nanyi kisa hiki.....
Alikuomba kimapenzi? Kumpa kwako kuna uhusiano gani na jukwaa hili la Mapenzi na urafiki? Unadhani adhabu ya miaka 30 imepungua?
 
Inawezekana kweli mtoto anamchukulia ivo, ila sio tabia ya kuiendekeza kwa mtoto wa kike form 2 kuombaomba pesa
Sijui wengine mnawaza nini.Ugali Na mandondo sometimes unachosha Na ni wananchi sisi wenyewe tunaochangia hayo makambi ya masomo chakula.Akaona Samaki wa kalumagia je ni kosa kukuomba? Mbona ulimpa sasa
Mara useme ulidhani hela ya peni au daftari
Kumbe yupo sahihi kukuomba but sio ya Samaki?
Au umewaza anakulengesha ukaozee jela?
No way to live.Nothing bad ,stay confident.
 
Si kama Baba? Au umewaza nini
Dunia hii jamani
So unaona alikuwa Na good faith.Ulipompa akashukuru akaondoka

Mkuu, hii dunia mwanao ni wa kumzaa tu.

Na ukimlea mwanao kwa kigezo kwamba atalelewa na wenye umri sawa na wako kwa kigezo cha ubaba, utafeli.
 
watoto wa sasa wa shule hasa wa kike wamechangamka sana! hio ni hali ya kawaida.. wengine tunabebewa mpaka mabegi tukikutana nao njiani.. tena huuliza maswali mengi kama umeoa? unaoa lini? kwanini bado hujaoa? nibkawaida.. na kwa umri wao na changamoto za sasa ni kawaida.. kikubwa wachukulie kama wadogo zako!! tatizo lako ushawaza ku komit adultery 😂😂!! sitakosea nikisema hujiamini na hujawazoea wanawake... na bila shaka leo mnara umechubuka kwa sabuni zenye magadi baada ya kukuta lotion haikufikishi kileleni!!
.
.
.
miaka 35 ni mingi acha ufala.. kama huna mke oa! imagine 35 unalala na form two.. miaka 16 ijayo anapoolewa mume wake ambae pengine anaweza kuwa mwanao. atakuta nini kama si bwawa!!
 
Mkuu, hii dunia mwanao ni wa kumzaa tu.

Na ukimlea mwanao kwa kigezo kwamba atalelewa na wenye umri sawa na wako kwa kigezo cha ubaba, utafeli.
Kwa hiyo ? Sasa ni wakati Wababa Na wajaka mjifunze
Kuna miaka 30
Hilo ni jukumu kuwalinda
 
Ni bora umeshare mzee.
Nakushauri Futa hayo mawazo mara moja,maana hayo mawazo tu tayari una miaka 30 jela ukithubutu jumla yake 60.
Siku izi wanasamehewa wahujumu Uchumi tena kwa kurejesha walichoiba/walichodhurumu, Kwa kesi yako wewe UTAFIA JELA/LUPANGO/MAGEREZA
 
Back
Top Bottom