Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

Ili mradi umeamua, muite ghetto umle nyapu ili ukimpa roho yako iwe kwatu. Hapo itakuwa 50-50, usawa huu ukitoa 30k ovyo ovyo tu bila faida utakuwa mpuuzi wa mwisho.
 
Siku nyingine tongoza anayenyoa au aliyetoka saloon siku hiyohiyo
Haaa Haa wanaonyoa hao nao sio salama sana. Hata madenti siku izi wanaomba pesa ya kununulia mawigi.

Kama kwako laki ni Pesa bora usitongoze kabisa mkuu. Madent ndio daily wanaomba mapededhee pesa ya kununulia assemble na chromosome [emoji23] [emoji23]
 
Ili mradi umeamua, muite ghetto umle nyapu ili ukimpa roho yako iwe kwatu. Hapo itakuwa 50-50, usawa huu ukitoa 30k ovyo ovyo tu bila faida utakuwa mpuuzi wa mwisho.
Hakiyanani tena mkuu
 
Lazima nimgegede tena ntampeleka peleka akome kujishaua,ntakuwa najichomoa naruka hadi juu kwenye kenchi then najiachia pwaaa.....nini kuoa?
kama ulivi na plan za kufanya ivo basi ata akiomba iyo hela wala usisite na kijiuliza vijiswal visivo msing......toa tuu baba haina haja ya kujiuliza apo...tena mda mngine ujiongeze utume tuu ata asipoomba .....upo
 
Haaa Haa wanaonyoa hao nao sio salama sana. Hata madenti siku izi wanaomba pesa ya kununulia mawigi.

Kama kwako laki ni Pesa bora usitongoze kabisa mkuu. Madent ndio daily wanaomba mapededhee pesa ya kununulia assemble na chromosome [emoji23] [emoji23]
Aaaaaah bora majimama sasa kama ndo hivo!
 
kama ulivi na plan za kufanya ivo basi ata akiomba iyo hela wala usisite na kijiuliza vijiswal visivo msing......toa tuu baba haina haja ya kujiuliza apo...tena mda mngine ujiongeze utume tuu ata asipoomba .....upo
Sasa kaanza mapema mno,mbona ningemtumia tu hata mashamba ya dingi ningeuza yote afurahi
 
Siogi!hivi buku 30 mchezo mkuu?
We yaoge tu kiongozi, ila sio ovyo ovyo. Ili ajue kuwa no free lunch in a capitalist world. Unakula kitu akiondoka unampa 30k ya bajaji..teh teh! Kuwa mwangalifu, kuna ukimwi, tumia kinga.
 
Huyu dada nimekutana nae juzi kwenye gari kuja Iringa, nikamtongoza akajishaua shaua mwisho akaniambia nimpe namba ya simu atanijibu tukishaachana stand, nikampa.

Jana akanipigia na kudai amekubali ombi langu ila alishindwa kunijibu uso kwa uso kwa madai ana aibu sana. Sasa wakuu jana hiyo hiyo usiku wakati namtafutia usingizi na vidakika vyangu vya ofa mara akaniomba elfu 30 ya kusukia. Nikaeskutiiiiiiiii, yaani leo leo tu?? Nikaona haina shida, nikamwambia nakutumia kesho, yaani leo.

Sasa tangu saa 3 asubuhi anapiga simu mfululizo kuulizia! Kwani deni? Calls zishafika 67 hapa, nimemblock namba sasa anatumia namba tofauti tofauti eti "bebi mbona kimya sasa?!", mimi huyo????

Sjamuelewa kwakweli
Hahahahahaaa.... Pole .

Hawacheleweshi sku hizi.
 
Sasa kaanza mapema mno,mbona ningemtumia tu hata mashamba ya dingi ningeuza yote afurahi
ha ha ha ha acha uoga ww...vip kama na yy angejirahisisha ile siku mngeenda gesti ungeanza kujishauri.........ukipenda gharamia baba....il ule minofu vzr....mpe tuu ata angekua kakuomba mda ule tuu ulipomuaproch .......haha haha ww jmn wafuraisha nelson..hakuna umapema wala angechelewa....
 
Back
Top Bottom