Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

mkuu mwambie aibu aliyonayo kwenye kukubali kutongozwa aitumie hiyo hiyo aibu kwenye kuomba omba fedha, kuanzia sasa asione aibu kuitikia ombi LA kutongozwa na awekeze nguvu kwenye kuijenga aibu ya kuomba omba ela, maana ilivyongu ni bora awekeze nguvu hizo za kuomba kwenye kutafuta
Kwa nilivyomsoma sidhani kama ataelewa somo mkuu
 
Badhi wanawake wa kitanzania wana tatizo la kuwa ukitongozwa uanze kuomba hela siku hyo hyo wanajiuza kimya kimya
 
mkuu mwambie aibu aliyonayo kwenye kukubali kutongozwa aitumie hiyo hiyo aibu kwenye kuomba omba fedha, kuanzia sasa asione aibu kuitikia ombi LA kutongozwa na awekeze nguvu kwenye kuijenga aibu ya kuomba omba ela, maana ilivyongu ni bora awekeze nguvu hizo za kuomba kwenye kutafuta,maana mimi hapa kuna MTU nilimpa Nazi hakuifanya namdai ananizungusha hapokei simu kwa uchungu na hasira nikajikuta nimetukana na sasa kasema amenishtaki kwa cyber crime uchungu juu ya uchungu yote sababu ya pesa so nikisikia mtu anaomba ela ananiongeza hasira tu
 
kwa nini?asili ya mwanamke kuhongwa wewewee!!
akuu wee mama kuna kuhongwa na kuomba ni vitu viwili tofauti, wanawake hebu tuonyeshe mahaba kwa wenzi wetu alafu oune kama tutadharirishana hapa kila siku, mwanamke anayejielewa siku ya kwanza tu hawez omba pesa kwa kweli Duh
 
akuu wee mama kuna kuhongwa na kuomba ni vitu viwili tofauti, wanawake hebu tuonyeshe mahaba kwa wenzi wetu alafu oune kama tutadharirishana hapa kila siku, mwanamke anayejielewa siku ya kwanza tu hawez omba pesa kwa kweli Duh
kataka mwenyewe kudhalilishwa huyo Dada.
asili ya mwanamke kuhongwa!
 
akuu wee mama kuna kuhongwa na kuomba ni vitu viwili tofauti, wanawake hebu tuonyeshe mahaba kwa wenzi wetu alafu oune kama tutadharirishana hapa kila siku, mwanamke anayejielewa siku ya kwanza tu hawez omba pesa kwa kweli Duh
Sasa umenena!!!
 
Hahaa nikuulize hivi asingekuomba hela wee si ungeanza kuomba ishu[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Na yeye kaaona akuwahi kabla wewe hujamuwahi!!!
 
Back
Top Bottom