Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

ahahahah ntacha veeepeee na njaa zenu
kwani umeumia au?alafu wew mtoto wa kiume jikaze,maan unaonekan uswahili.mwingi unao,alafu.mimi mtoto wa kike nisije kukuweka kati,we km umeumia potezea acha wenye pesa wajilie mwenye kisu kikali ndo mla nyama,km una ela tafut sahiv yak atakayekupa bure,
 
kwani umeumia au?alafu wew mtoto wa kiume jikaze,maan unaonekan uswahili.mwingi unao,alafu.mimi mtoto wa kike nisije kukuweka kati,we km umeumia potezea acha wenye pesa wajilie mwenye kisu kikali ndo mla nyama,km una ela tafut sahiv yak atakayekupa bure,
Yani umemaind kupita muhisika,km unatafuta mgegendo wa bure bas acha kuwaka watakuj wenyewe
 
we kaka huyo Mtu msingi pesa tuu!!
no luv no anything!
changanya mbariga!!
 
hahaaaaaa kweli wanaume wameisha
naiona kazi ya makonda kwa jicho la tatu ilivyongumu
 
Kama hata elfu30 bado inakupiga chenga ni bora ukawekeza nguvu na muda zaidi kwenye kujenga maisha yako badala ya kusumbua watoto wa watu. Itakuwa hata nauli ya bus ulilipiwa wewe, chunga tu usije chumbiwa wewe
Hahaha na kweli
 
Elfu30 ni nini! Elfu30 ni hela nayo!? Wanaume wanaisha wanabaki wavulana tu Kazi kulalamika siku nzima. Uanaume ni majukumu na kumtunza mwenza wako ni moja ya majukumu ya mwanaume kamili au unataka utunzwe wewe angalia usije chumbiwa.
we jamaa umenifanya nicheke hii topic imepata wadau sana sijui watu wanakutana na matibwili kama haya
 
Hadithi ya uongo.

Hata kama ni mtoto akichezea simu na kubonyeza button ya calling siku nzima haifiki mara 67.
 
30,000 tzshillings au 30,000dollars zilizofanya umblock dada wa watu?
 
REF:KIKWETE ASLISEMA;
Ukitaka kula lazima uliwe....ukizubaa wewe basi uje utaliwa kama sivyo basi yeye akizubaa utamla.
 
Hizo 30,000 zinaokotwa au zinatafutwa kwa Jasho. Kwa siku hata 20,000 hupati halafu utoe 30,000 kiurahisi ndio maana vijana wengi TZ maskini
 
Kwa hiyo unafikiri hiyo ndo itakuwa shughuli nzito kwake????, we mwomba ushauri achana na huyo bana, usikurupuke tena kufanya jambo kama hilo.

jiridhishe kwanza na unayetaka kumtongoza. Don't just take ANY
asante mkuu
 
Alafu hii tabia ya kusafiri,alafu ukakaa na mwanaum pemben yako yani lazima tu mwanaume atamtongoz mwanamke,na sio kwamba amempenda kweli yani huwa najiulizaga sana,sijui ni tamaa,au ni vp,tena huyo bi dada kakukosea yani kachelewa ili bidi humo humo kweny bus akuombe lunch kwanza,yan km mimi najua hapo amna upendo km yy amenichukulia poa,mimi pia nakuchukulia poa,so ningeanz kuku bp na luch uninunulie,alafu ela ya kusuk ingefata kesho yake
kwa hiyo safari nzima tukae kama mabubu?halafu hiyo lunch angeniombea wapi maana vituo vya misosi tulishavipita!
 
Back
Top Bottom