Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

Ukitaka kumgegeda mtu unapaswa kuvumilia uliwe kidogo ndipo ugegede toa pesa ila huyo anadalili za utapeli mpatie mwingine namba ahangaike naye.
 
Ukitaka kumgegeda mtu unapaswa kuvumilia uliwe kidogo ndipo ugegede toa pesa ila huyo anadalili za utapeli mpatie mwingine namba ahangaike naye.
itakuwa tapeli huyu mkuu....umeona comment ya juu yako????
 
Unapoombwa pesa si lazima uwe umetangaza ndoa. Kama shida yako ni papuchi tu hata machangudoa wanazo lakini kwa ngawira pia.
yanini kugegeda huku una hofu?mgegedo unataka mbwembwe mkuu
 
Hahaaa... tafuta sixpacks hakuna demu atakuomba hela milele
 
Huyu dada nimekutana nae juzi kwenye gari kuja Iringa, nikamtongoza akajishaua shaua mwisho akaniambia nimpe namba ya simu atanijibu tukishaachana stand, nikampa.

Jana akanipigia na kudai amekubali ombi langu ila alishindwa kunijibu uso kwa uso kwa madai ana aibu sana. Sasa wakuu jana hiyo hiyo usiku wakati namtafutia usingizi na vidakika vyangu vya ofa mara akaniomba elfu 30 ya kusukia. Nikaeskutiiiiiiiii, yaani leo leo tu?? Nikaona haina shida, nikamwambia nakutumia kesho, yaani leo.

Sasa tangu saa 3 asubuhi anapiga simu mfululizo kuulizia! Kwani deni? Calls zishafika 67 hapa, nimemblock namba sasa anatumia namba tofauti tofauti eti "bebi mbona kimya sasa?!", mimi huyo????

Sjamuelewa kwakweli

DO NOT! I REPEAT DO NOT PUT YOUR DICK INTO CRAZY!!

Kimbia ndugu. Alafu sitaki kukuhukumu so easily ila if your old enough, unatakiwa uelewe haya mambo. Mwanamke yeyote anaekuomba hela a few days after kumtongoza, HUYO ANATAKA AKUCHUNE TU! Na anakupigia simu marakibao kisa elfu 30?? Basi ndugu nakuonya kimbia. Huo ndo naita CRAZY! Kesho atakuomba kingine atakudai balaa, kesho kutwa ukalala nae tu, atashow up kwenu au kazini kwako nakudai chochote alichoomba.
 
Mbwembwe haziishii kwenye kuingiza dushe tu, lazima mwenye hati miliki ya papuchi apendeze vinginevyo hukawii kulalama.

yanini kugegeda huku una hofu?mgegedo unataka mbwembwe mkuu
 
DO NOT! I REPEAT DO NOT PUT YOUR DICK INTO CRAZY!!

Kimbia ndugu. Alafu sitaki kukuhukumu so easily ila if your old enough, unatakiwa uelewe haya mambo. Mwanamke yeyote anaekuomba hela a few days after kumtongoza, HUYO ANATAKA AKUCHUNE TU! Na anakupigia simu marakibao kisa elfu 30?? Basi ndugu nakuonya kimbia. Huo ndo naita CRAZY! Kesho atakuomba kingine atakudai balaa, kesho kutwa ukalala nae tu, atashow up kwenu au kazini kwako nakudai chochote alichoomba.
asante mkuu....
 
Back
Top Bottom