Nimeombwa hela ya kusukia

Au ndo wewe??maana nishaanza kutumiwa sms kama hiyo kwa simu yangu,niache nipate ushauri basi
Kama ela huna unasema tu asa selasini nayo ya kuombea ushauri je ungeambiwa kodi ya nyumba si ungejiua kabisa koh koh kohhh
 
Yaani kumbe wapenzi wote wanaopeana ela lazima wapajue kwao wapenzi wao??? Yaani una ratiba za kizamaaaani
Mtongozano kizamani ndo habari muafaka,kama yeye digital mbona hakunijibu siku ileile?
 
Baba unapotongoza ukubali kuhudumia upo, hakuna vya bure siku hizi
 
Labda alikuwa anajifunza kama anajua kutongoza.
Wewe!!!najua kutongoza vizuuri tena ile style ya kizamani.....naanza kwa kukuangalia halafu nacheka kidogo,halafu naanza "bibie hujiskii njaa?.......
 
Kama ela huna unasema tu asa selasini nayo ya kuombea ushauri je ungeambiwa kodi ya nyumba si ungejiua kabisa koh koh kohhh
Basi nakutumia sasa hivi mweh......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…