Nimeombwa hela ya kusukia

Nimeombwa hela ya kusukia

We yaoge tu kiongozi, ila sio ovyo ovyo. Ili ajue kuwa no free lunch in a capitalist world. Unakula kitu akiondoka unampa 30k ya bajaji..teh teh! Kuwa mwangalifu, kuna ukimwi, tumia kinga.
Mh hivi kweli?
 
Wewe achana na hao mademu wa mwendokasi.
Watakupa stress
 
Mwambie mambo yamegoma hyo pesa huna mpaka mwezi ujao
 
Nimemwambia tukutane udzungwa lodge sasa hivi....kasema ananijibu sasa hivi
 
Sasa si umpee..kumpenda unampenda ila kutoa fungu ndo balaaa..halafu wanaume wa hivi MNA wivuuu balaaa...kama ulivyowai kutokea nae kawai kukuomba ngoma Droo.Ushauri..bado kiza kuingia nenda.M-pesa Tuma..then ulete mrejesho..Ubahili tu.
Unaonekana upo vizuri
 
Back
Top Bottom