Nimeona clip ya Mtanzania mwenzetu Joshua Mollel anauawa na Hamas. Inatia hasira kuona tulipiga kura kuwaunga mkono

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,451
Niliwahi kusema hapa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania mwenzetu alitokea shambani na kibaiskeli chake maskini ya Mungu. Anakamatwa najitetea lkn haeleweki kisha anapigwa risasi alaf wanashangilia huku wakisema Alakh akbar.

Kijana mdogo anazimishwa ndoto zake na wajinga wachache alaf et leo Rais anapiga kura kuwatetea wauwaji. Rais Samia damu hii utaijibia... Ulishindwa kuzuia wasimuue lkn hata kulaani mauwaji ya watanzania wenzako umeshindwa? Badala yake umewaunga mkono wauwaji.

Video hyo inaogofya sidhani kama inafaa kuwa shared hapa. Kama unataka unaweza kuingia mtandao X imesambaa sana. Inatia huruma.

R.I.P mdogo wetu
 
Nchi 14 barani Afrika zimeiondoa Israel kwenye Umoja huo AU.

Nchi zilizokubali uamuzi wa kuiondoa Israel kwenye muungano huo ni; South Africa, Tunisia, Eritrea, Senegal, Tanzania, Niger, Archipelago ya Qamar, Gabon, Nigeria, Zimbabwe, Liberia pamoja na Seychelles.

Hizo nchi zote viongozi wake ni Waislam?
 
Video hyo inaogofya
20230510_085656.jpg
 
w
Niliwahi kusema haoa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania mwenzetu alitokea shambani na kibaiskeli chake maskini ya Mungu. Anakamatwa najitetea lkn haeleweki kisha anapigwa risasi alaf wanashangilia huku wakisema Alakh akbar.

Kijana mdogo anazimishwa ndoto zake na wajinga wachache alaf et leo Rais anapiga kura kuwatetea wauwaji. Rais Samia damu hii utaijibia... Ulishindwa kuzuia wasimuue lkn hata kulaani mauwaji ya watanzania wenzako umeshindwa? Badala yake umewaunga mkono wauwaji.

Video hyo inaogofya sidhani kama inafaa kuwa shared hapa. Kama unataka unaweza kuingia mtandao X imesambaa sana. Inatia huruma.

R.I.P mdogo wetu
Asife yeye nani mbona kule Palestina watoto na wanawake wanauliwa kila siku wewe haikuhuzunishi hiyo!!!kama haikuhuzunishi kwenye hili la mtanzania wewe ni mnafiki
 
Kuna magaidi ya Tanzania yatakuja kuyatetea magaidi ya hamas.

Hizi dini za uislam na ukristo na zinazo fanana na hizo ni utapeli mtupu lengo lao kubwa Dunia isikalike na isiwe sehemu ya amani

Inasiktisha sanaa watanzania kukumbatia udini ambao hauna maana yoyote na hakuna kitu kinaitwa pepo

Hakuna siku utapewa mabikra 72 peponi

Hakuna siku utaenda mahalj ambako ni kuimba na kucheza na kusifu muda wote

Huu wote ni utapeli[emoji24]
 
Vita haina macho,hii iwe fundisho kwa sisi washabikia vita kindaki ndaki.
Big NO! Haya ni mauaji ya kudhamiria na siyo vita. Mtu alikuwa katikati ya watu wenye bunduki, yeye hana hata jiwe, kwa nini amuue kinyama hivyo?

Kwenye vita siku zote sheria ni kuwa hutakiwi kuua mtu asiye na silaha na haonyeshi upinzani. Halafu haya ni mauaji yaliyofanywa mwanzoni kabla hata haijawa vita. Anayejua lugha atutafsirie wanasemaje?
 
Niliwahi kusema haoa kwamba Rais alipiga kura kuwaunga mkono Hamas kwa msukumo wa dini wengi mlitoka povu. Kuna video inasambaa ktk mtandao wa X inatisha sana. Moyo wangu unavuja damu mtanazania mwenzetu alitokea shambani na kibaiskeli chake maskini ya Mungu. Anakamatwa najitetea lkn haeleweki kisha anapigwa risasi alaf wanashangilia huku wakisema Alakh akbar.

Kijana mdogo anazimishwa ndoto zake na wajinga wachache alaf et leo Rais anapiga kura kuwatetea wauwaji. Rais Samia damu hii utaijibia... Ulishindwa kuzuia wasimuue lkn hata kulaani mauwaji ya watanzania wenzako umeshindwa? Badala yake umewaunga mkono wauwaji.

Video hyo inaogofya sidhani kama inafaa kuwa shared hapa. Kama unataka unaweza kuingia mtandao X imesambaa sana. Inatia huruma.

R.I.P mdogo wetu
Hamas Wanaongoza Serikali ipi? Hamas ni magaidi kama magaidi wengine,huwezi laumu Palestine Kwa vitendo vya magaidi wa Hamas ambao sio tuu wamewaua Vijana Wetu kikatili Bali pia wanawasababishia maafa raia wa Palestine wasio na hatia.

Imeniuma sana Hawa mbwa wa Hamas kuua raia wasio na hatia.

Msimamo wa Serikali yetu ni wazi kupinga mauaji ya watu wasio na hatia ambao inafanywa na Israel na Hawa Hamas.
 
Back
Top Bottom