Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Nataka nifuate nyendo zako mkuuMabadiliko ni makubwa sana kuanzia Maisha yangu ya nje mpaka kiroho, maswala ya tamaa ya mwili kwangu ni kama nimeshinda.
Inshort najisikia vizuri sana kuliko nilivyokua kabla.
Maamuzi tu. Ukiamua unaweza.Nataka nifuate nyendo zako mkuu
Unabidi uwe seriously kweli kweli sio rahisiNami ngoja nianze Rasmi maana naona uzee unanikuta nikiwa hata sijafika 30 years
Ngoja nikomae mkuuUnabidi uwe seriously kweli kweli sio rahisi
Wanaume tupu mkuu.....Mbinu zakukabili Ashki ya Ngono kamandaMnataka kupeana mbinu gani mkuu? Ni wanaume na wanawake?
😂😂. Kwenda zako hukoHii biashara ni ngumu asee,🤣
Hawa wakali wa humu ndio wanapaswa kutoa muongozo mule grupuni.Good idea
Mbona kumepoaHawa wakali wa humu ndio wanapaswa kutoa muongozo mule grupuni.
Naona wat wazito kujoin Lkn si haba tuliopo tunapeana mawili matatyMbona kumepoa
Sawaa ngoja nijeNaona wat wazito kujoin Lkn si haba tuliopo tunapeana mawili mataty
Tuanze leo na tuwe tunapeana updates inbox.mimi nitapunguza kula ili nishinde
Tupe Aya, hadithi au maandiko ya wanazuoni kuhus hiloKipi kilichokufanya ujiunge na michezo ya watu wenye upungufu wa nguvu za kiume? Sisi waislam hutakiwi kupitisha siku nne bila kutikisa kitanda kama mwenza wako hana tatizo lolote.
Endelea na mazoezi yako ya uhanithi
App unayotumia ww inakuletea notification?Update app, Afu uwe navyo vyote.
👉Mi mbona natumia app na iko POA Sana.
👉Update chrome pia