Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Oh thanks buddy
 
Tuanzishe na mchango wa kuchangia utengenezaji wa mabango na vipeperushi na kuvisambaza nchi mzima



Ñdio maana Visa kule kwenye ule Uzi wa Kula KINASIARA vimepungua
 
Nikutakie kila la kheri kweny nofap😁😁
 
Tuanzishe na mchango wa kuchangia utengenezaji wa mabango na vipeperushi na kuvisambaza nchi mzima



Ñdio maana Visa kule kwenye ule Uzi wa Kula KINASIARA vimepungua
Na huo ndiyo mpamgo wetu mabango yatatapakaa tutaanzia kwenye majiji makubwa kwanza
 
Upo mwezi wa pili mara paap....yule mwanamke uliyekua unammezea mate ukitamani japo umkumbatie tuu anajileta kwenye 18 zako
 
Nilichogundua ili ufanikishe hii challenge,unatakiwa ukae mbali kabisa na hii mitandao ya kijamii kwa kuwa ina hamasisha sana ngono.

Ukiingia wasap,facebook,insta,tiktok na bado uzi wa tunda kimasihara na warembo wakali world wide hapa JF,utakuwa kila siku unaishia kuwa scout tu halafu una reset.

Hadi utakosa sababu za kumwambia yule jamaa wa Iron Will
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzi mzuri, nilisabusikraibu nikawa nafuatilia comments.

Nami nikaunga tela, ila ni siku ya tatu naona kila day warembo wananielewa na hawajui nipo kifungoni.

Nakomaa tu, lengo litimie..bila ya uzi kuanzia january mpaka feb katikati, nilikaa bila sex ila ndoto nyevu zikawa nazipata..

Na genye zikiwa mingi, hata barabarani ukiona mwanamke hata kama sio mrembo unaanza kuingiza mikono mfukoni.

Naitaji niende mpama 2023..tuko pamoja.
 
Tuko pamoja comrade
 
Kuna dogo aliniwekea kwenye sm lakin nmefurukuta nimeshindwa kuitumia kabisa
Kama unatumia Android ndio rahisi zaid ni single click, angalau iOS inahitaji vitu vingine kidg

Kama hauna ni sawa tu, maana haina ulazima sio kipindi cha uchaguz hiki mpaka itokee wakuzimie Twitter
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…