Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado upo scout aka kuruta [emoji3]Mimi nipo siku ya pili leo man
Hahahaa Mm nilifika siku ya 5 had nikaona kichwa kizito[emoji23]Mimi nimejaribu leo siku ya saba naona uvumulivu unanushinda kabisa
Hongera sana Chief,ila sio kazi ndogoMimi niliunfollow Insta wakina uwoya , zuchu , nandi , paula nk page yangu imejaa madini tupu na wanamichezo vilevile miziki ya hovyo pamoja na movies za kizungu nimetupilia mbali nilianza tokea kipindi cha covid tarehe niliandika kwenye kidaftari changu cha kumbukumbu na nikajiwekea kiapo siku nikisaliti chama faini yake ni kuachana kitabu hiyo ikanipa hamasa coz kitabu changu kina vitu muhimu siwezi kukichana hivyo kinatakiwa kuwa salama kwa muda wote.
Malengo ya kwanza ilikuwa miezi sita nilipovuka nikarenew contract sasa nimekuwa immortal chief General
Hahaha kuna mtoto anajileta nini....!? Mkataee asituharibie...Hahahaa Mm nilifika siku ya 5 had nikaona kichwa kizito[emoji23]
Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Pamoja mkuu hakuna kurudi nyuma mwendo ni ule ule.Twende baba twendeee tuko safari moja ingawa umenitangulia kidogo.....
Nasubir saa sita ifike nami nifunge 10 daysCheo kipya hicho [emoji3]View attachment 2249697
Kabanga kwani we una wajukuu?Hii ni kwa vijana wadogo eh?
Master SEARGEANT mwenzangu [emoji3]Nasubir saa sita ifike nami nifunge 10 days
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Master SEARGEANT mwenzangu [emoji3]
[emoji28][emoji28][emoji28]choon kwamba zinatoka nyuma hizo spermmkuu utachafua sana mashuka maana utakuwa unamwaga usingizini,halafu hata ukienda kujisaidia haja kubwa kuna wakati utakuwa unamwaga na wazungu