Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Ya nini nijitese miyee
Usijitese mzee baba jipe raha.... ila hizi raha sio nzuri maana wanabaki wao tena kwa muda mrefu tu ila sisi ndiyo tunakwenda chini ya udongo mapema. Babu yangu alikufa mwaka 1981 wakati bibi yupo mpaka leo hii na ameshasahau kama aliwahi kuwa na mume na hiyo ni upande wa baba tu, kwa upande wa mama babu alikufa mwaka 1988 ila bibi yupo mpaka leo hii.
 
🤣 mwamamke anagain nini hasa na mwanaume analoose nini?
 
Mbegu zikijaa zinaanza kutaka kutoka zenyewe hapo unajikuta unaanza kuota ndoto za kufanya mapenzi,
Kutoka zenyewe sio shida.... shida ni kuzitoa wewe kwa kuamua maana huwezi piga bao tatu kwa ndoto nyevu pekee ila ukiwa juu ya kiuno cha demu hapo zinapigwa hata bao nne na zaidi kitu ambacho sio kizuri kwa afya ya mwanaume hata kidogo.
 
Mkuu wewe hii utaiweza maana juzi tu hapa umetoka kutuambia kua wewe starehe yako ni uvinza.
Kila la kheri.
Lakini kuchakata mbususu lazma kuendelee kama kawaida. If NO FAP inahutajika, then ntajifunza zaidi about being multiorgasmic ili nisimwage
 
Hi nzuri ina faida zifuatazo.
-inakuepusha na magonjwa ya kuambukiza kwa njia ya ngono.

-inakuepusha na nuksi.
-inakuepusha na majanga mbali mbali mfano,mimba zisizo tarajiwa,kufumaniw nk.
-inakuepusha na vizinga mwambatano.

-unapata utulivu wa nafsi.
-akili inajikita kwenye ukuaji wa uchumi wako.
-Unarejesha nguvu upya za sexx
 
Mkuu wewe hii utaiweza maana juzi tu hapa umetoka kutuambia kua wewe starehe yako ni uvinza.
Kila la kheri.
Lakini kuchakata mbususu lazma kuendelee kama kawaida. If NO FAP inahutajika, then ntajifunza zaidi about being multiorgasmic ili nisimwage
Hatariiii hahaha..... hebu tia tia nyama kidogo hapo kwenye "multiorgasmic"
 
Umeenda mule mule mtaalam.... kongole saaana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…