Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Funga inasaidia kupunguza matamanio ile njaa unayoipata kwa kufunga inasaidia kutuliza mawazo na mwili unakuwa hauko active sana tofauti na unapokuwa umeshiba mwili unakuwa na energy ya kutosha kiasi kwamba hupati utulivu. Hata wewe unajua akili yenye njaa na ilio shiba ipi ina mambo mengiFafanua kidogo hapo ni kwanini iambatane na kufunga
kama hayaruhusu?
Kunamtoto nilipanda nae basi.. leo anataka kukuja kwangu nimuache aondoke bilakuliwa kimasihara sio??[emoji23][emoji23][emoji23]Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......
NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.
Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.
Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.
Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,
Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.
If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.
View attachment 2234241
[emoji23][emoji23][emoji23].. ukisikia wahuni wote peponi ndio hii sasaHongereni sana [emoji28][emoji28]
Sio kwaajili ya kugongana lakini mkuu.. mimi babu yangu alikufa akiwa na miaka 94 alikuwa na wake watano watoto 20 nalikufa kifo cha uzee sio tezi dume wala ninUsijitese mzee baba jipe raha.... ila hizi raha sio nzuri maana wanabaki wao tena kwa muda mrefu tu ila sisi ndiyo tunakwenda chini ya udongo mapema. Babu yangu alikufa mwaka 1981 wakati bibi yupo mpaka leo hii na ameshasahau kama aliwahi kuwa na mume na hiyo ni upande wa baba tu, kwa upande wa mama babu alikufa mwaka 1988 ila bibi yupo mpaka leo hii.
yeye amekufa lakini aliyoyafanyia kazi bado yanaishi.. leo hii unatumia simu,wifi,Bluetooth na wireless charging sababu kuna muhuni mmoja aliamua kuweka pussy pembeni akaamua kupiga kazi.. sio kila mtu anaweza especially huku kwetu afrika tunaendekeza sana chiniHuyo Nikola Tesla pamoja na hayo yote na bado amekufa, yaani nyie waTZ mtakuja kuiga na vitu vingine visivyo na msingi, we ingesema unataka kupunguza sex labda mala moja Kwa mwezi sawa, kwanza hapa ngoja nimpigie Nasma mtoto wa ki-Iraq aje hapa tufanye yetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kwa wale ambao wakikaa wiki tu lazima apige bao usingizini, hii challenge inaaply?
Ama ni lazima zisitoke?