Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Leo nimeamua nianze tena challenge nmedownload app ya iron will inisaidie kuhesabu ni siku ngap nitakaa bila kula demu/nyeto nikifanikiwa kufika miez 3 najua hata akili itakua mpya
Ila inatakiwa u unfollow kila kinacho shawish ngono hasa madem wenye tako na usiangalie sana mademu

View attachment 2235728
Hii app unaitumiaje man, na mimi niinstall
 
Sio kwaajili ya kugongana lakini mkuu.. mimi babu yangu alikufa akiwa na miaka 94 alikuwa na wake watano watoto 20 nalikufa kifo cha uzee sio tezi dume wala nin

Lakini ni kweli mwanaume kama hufanyi mapenzi mara kwa mara kinga ya mwili inaongezeka sana na concentration pia inakuwa juu.. ndo maana washikaji ambao shule walikuwa wanachakata madem wengi walikuwa ndo wanashika mkia

Sent from my SAMSUNG-SM-J327A using JamiiForums mobile app

Hao walikua vilaza tu [emoji3], It has nothing to do with sex.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Interesting challenge. Nawatakia kila lenye kheri. Mtaweza tu wakuu kikubwa msimamo na Rehema za Bwana. Yes you can do it...na mkishafanikiwa na muoe sasa maana maendeleo yatakuwepo ili mjilie vya kutosha, kwa uhalali bila kupimiwa sijui kuhonga kisa umemlala sana....all the best
 
Hii app unaitumiaje man, na mimi niinstall
Hiyo app unakua nayo kwenye simu tu unaistart inaanza kuhesabu siku toka ile siku uliyoanza challenge ya nofap
Kwahiyo hata ukisahau umekaa siku ngap bila ku relapse ukiingia kwenye app unakuta imeshakuhesabia bila kupoteza kumbukumbu Kama ni siku 20 utakuta imekuanfikia day 20
 
Una umri gani nduguyang, je umedhamilia kweli? Kumbuka muda haurudi nyuma na usije ukafika uzeeni ukaanza kujilaumu kwann hukutumia ujana wako. Kama we ni kijana kama mimi tumia muda huu kutimiza maagizo au kuenjoy. uzeeni ndio ufanye hilo zoezi lako.
 
Hiyo app unakua nayo kwenye simu tu unaistart inaanza kuhesabu siku toka ile siku uliyoanza challenge ya nofap
Kwahiyo hata ukisahau umekaa siku ngap bila ku relapse ukiingia kwenye app unakuta imeshakuhesabia bila kupoteza kumbukumbu Kama ni siku 20 utakuta imekuanfikia day 20
Siku ukipiga huo mchuzi utakaoumwaga sio poa

Mimi nikaaga hata wiki mbili siku nikichakata mwanamke ananiambia nimemwaga nyingi sana
 
Mabadiliko ni makubwa Sana.

Mwanzo week za Kwanza wa weza pata izo ndoto nyevu Mara 1,2 ila baada ya hapo haitokei tena.

Faida nilizo ona Hadi sasa.
-kwanza Unajiamini,Mwili una kuwa na nguvu,na afya tele.

-Akili inakuwa faster,tulivu na pia yenye mawazo chanya juu ya mstakabali wa maisha.

-Abdala kichwa wazi yupo strong,vibaya mno,anasimama imara Kama mnara,hii kwang ni zaidi ya mwanzo.

-Uchumi umekua maana nimejitenga mbali na hawa ndug zetu upande wa pili,nimejua kuji control kiasi kwamba ke Yani sumbui au kuniendesha kisa k,maana naweza survive without it.

-Imeniondolea ulimbukeni juu ya wanawake for 95% hivyo nakuwa na nafasi kubwa ya kufanya maamuzi sahihi kwa ajili ya maisha yangu ya kesho,nime save San Mkwanj wangu

✓bado naendelea ntazidi kuleta maendeleo yangu juu ya operation hi.
mi naona hii ni vita kati ya me na ke..

kwa hyo tufe na Utamu wetu au
 
Back
Top Bottom