Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Mwaka Jana nimefanya sana hiyo challenge Ila ilikua ikifika miezi miwili na relapse
Mwisho wa siku nikaja kugundua ni ngumu sana rijali kuish bila kula demu au jerking off maana unaweza kubaka kabisa ilifika hatua nikawa natamani kila demu had wamama
 
Nipo mwaka wa tatu au nne hiv sifanyi mapendi ila zile za ndoto nyevu hunitokea ila sio sana. Kwangu ni kawaida sana hadi nimezoea
Safi sana man, naombea sana nifike huko na nitafika tu.
 
Mwaka Jana nimefanya sana hiyo challenge Ila ilikua ikifika miezi miwili na relapse
Mwisho wa siku nikaja kugundua ni ngumu sana rijali kuish bila kula demu au kupiga nyeto maana unaweza kubaka kabisa ilifika hatua nikawa natamani kila demu had wamama
Hahahahaha.. ukaamua kusaliti chama la NoFap...... vipi hukuwahi kurudia tena!!!!!!?
 
Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......

NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241
Halafu baadae jioni unapokea text kutoka kwa Mary anauliza "Nimekumiss sana baby upo gheto nije?"[emoji39]
 
Wasalaaaaaaaam wadau.... Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.......

NoFap.... ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241
Karibu chama la wana UWABATA litakufaa sana
 
Hahahahaha.. ukaamua kusaliti chama la NoFap...... vipi hukuwahi kurudia tena!!!!!!?
Leo nimeamua nianze tena challenge nmedownload app ya iron will inisaidie kuhesabu ni siku ngap nitakaa bila kula demu/nyeto nikifanikiwa kufika miez 3 najua hata akili itakua mpya
Ila inatakiwa u unfollow kila kinacho shawish ngono hasa madem wenye tako na usiangalie sana mademu

Screenshot_20220523-161911.png
 
Back
Top Bottom