Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Ukimpa atapiga paaap ...paap ..paaap....wazungu hao....unachezea ugwadu aiseeMnanichekesha walai,
Hivi mpo serious au mnafurahisha baraza hapa?
Na tutajuaje kama kweli mmeweza nataka kutoa ofa kwa mshindi [emoji851]
Kaka usipoejaculate c unaweza gonga hata masaa sita maana utamu wa hapo utotaka kuacha labda manzi mwenyewe akutoe kwa nguvuBora ujifunze kugonga bila kuejaculate...Ina faida nyingi kuliko hiyo Yako...you can sex hata mara 3kwa week laki unaejaculate once after 10 or 20 days
Hiyo ofa utatoa baada ya muda gani?Mnanichekesha walai,
Hivi mpo serious au mnafurahisha baraza hapa?
Na tutajuaje kama kweli mmeweza nataka kutoa ofa kwa mshindi [emoji851
Binafsi sidhani kama utakuwa umeharibu chalenge ila kuangalia porn sio poa next time unaweza kupiga nyeto kimasihara kama ulinusulika bac usirudie tena.Hii nzuri ila nina swali, vipi kama umepanga ukae kwenye chellenge mwezi mmoja alafu baada ya wiki mbili tangu uanze chellenge gafla ukajikuta unaangalia porn kwa muda kama wa saa moja hivi ila hujapiga puli wala kumwaga kwa aina yeyote ile na ukaendelea na challenge kama kawaida na kisha kuingia wiki ya tatu. Sasa naomba kujua hapo unakua umeharibu chalenge au bado upo kwenye mstari ila tu ulitereza kidogo mazee?
Miezi sitaHiyo ofa utatoa baada ya muda gani?
Ndo mambo gani sasa hayo,Ukimpa atapiga paaap ...paap ..paaap....wazungu hao....unachezea ugwadu aisee
Ugwadu wa miezi 6,.Ndo mambo gani sasa hayo,
Itakua kama jogoo
Na sirudii tena.Binafsi sidhani kama utakuwa umeharibu chalenge ila kuangalia porn sio poa next time unaweza kupiga nyeto kimasihara kama ulinusulika bac usirudie tena.
[emoji1787] [emoji1787] Pole sana kila kitu kinawezekana kinaanzia kwenye mindset then inatawala kila kitu chako cha mwilini mwakoNa sirudii tena.
Unajua hii chalenge ndiyo imenifanya nijoin JamiiForum rasmi coz kwa muda flani uliopita nilikua naisoma kama guest ingawa toka nianze chalenge ni wiki ya pili saizi na leo yani ilibaki kidogo tu nipige puli ila nina video kadhaa za bokoharam huko nigeria wanachinja watu live mtu anakatwa kichwa mpaka kinatoka chote kabisa (Tanzania nchi ya amani sana, omba usikutane na wale watu duuuh!!!!).
Kuna mama mmoja yuko hapo wenzie wemechinjwa wote wamewekwa pembeni hapo huku akiona yeye akawa wa mwisho wakamwambia lala chini mama wawatu akalala wakamchinja kama kuku mazee, sasa nikionaga ile video huwa inanihuzunisha saana yani na nikiona tu napata muhemko kama huo wa nyege nyege fasta naenda kuziangalia zile video na zinanikata stimu kabisaaa, ilikuwa leo asubuhi iyo nikapona kupiga puli kawa njia hiyo nikaleave fasta pornsite kisha nikazifungua zile video za bokoharam zikanikata stimu mazima ndiyo ikawa ponapona hiyo. Ila naamini kuna hatua nimepiga coz zamani ilikuwa nikicheki porn tu lazima nipige nyeto ila leo chalenge imeniokoa mazee, kwangu naamini huo ni mwanzo mzuri wa kuacha kutazama porn.
Itakua fedhea ukae kwenye hii challenge week nzima then ukajisahau ukaenda kupiga nyeto utakua umejitia aibu, bora umalize huu mchezo kwa kujitunuku na mbususu halali yako, na hata mechi itakua ya nguvuNa sirudii tena.
Unajua hii chalenge ndiyo imenifanya nijoin JamiiForum rasmi coz kwa muda flani uliopita nilikua naisoma kama guest ingawa toka nianze chalenge ni wiki ya pili saizi na leo yani ilibaki kidogo tu nipige puli ila nina video kadhaa za bokoharam huko nigeria wanachinja watu live mtu anakatwa kichwa mpaka kinatoka chote kabisa (Tanzania nchi ya amani sana, omba usikutane na wale watu duuuh!!!!).
Kuna mama mmoja yuko hapo wenzie wemechinjwa wote wamewekwa pembeni hapo huku akiona yeye akawa wa mwisho wakamwambia lala chini mama wawatu akalala naye wakamchinja vilevile kama kuku mazee, sasa nikionaga ile video tu huwa inanihuzunisha balaaa, na nikiona tu napata muhemko kama huo wa nyege nyege fasta naenda kuziangalia zile video na zinanikata stimu kabisaaa, ilikuwa leo asubuhi iyo nikapona kupiga puli kawa njia hiyo nikaleave fasta pornsite kisha nikazifungua zile video za bokoharam zikanikata stimu mazima ndiyo ikawa ponapona hiyo. Ila naamini kuna hatua nimepiga coz zamani ilikuwa nikicheki porn tu lazima nipige nyeto ila leo chalenge imeniokoa mazee, kwangu naamini huo ni mwanzo mzuri wa kuacha kutazama porn.
Ni hatari ndugu. unajua leo naamka ile asubuhi nikakuta mashine iko winga moja matata sana nikashindwa kuhimili muhemko.Itakua fedhea ukae kwenye hii challenge week nzima then ukajisahau ukaenda kupiga nyeto utakua umejitia aibu, bora umalize huu mchezo kwa kujitunuku na mbususu halali yako, na hata mechi itakua ya nguvu
Ni hatari ndugu. unajua leo naamka ile asubuhi nikakuta mashine iko winga moja matata sana nikashindwa kuhimili muhemko.
Nikasema wacha nizame xvideos sasa maana nina vpn, Nikacheki porn wee kama lisaa limoja hivi nikasema sasa wacha nijilipue na puli moja safi kabisa kwajili ya kujipongeza kwa kukaa wiki mbili bila kupiga puli, kucheki porn wala kumwaga mbegu kokote. Ile nataka kupiga tu puli nikajiuliza sana kwamba huu utakuwa ni ujinga wa aina gani sasa? Nilijiapiza mwenyewe kwamba naanza hii chalenge na hatimae nikatimiza wiki mbili alafu leo kirahisi rahisi tu nijichafue? Ikanibidi nikaangalie video za machinjachija sasa wale wa bokoharam ili zinikate muhemko na nikafanikiwa duuh. Ila naendelea kukazaa.
Vipi kwa kucheki porn leo kwa bahat mbaya nitakuwa nimeharibu au kutoka nje ya mstari????
Sirudii tena asee namuomba sana Mungu shetani wa porn na puli anipitie mbali kabisa yani. Ni addiction moja mbaya sana.
U will be surprised with wetdreamsNimeshakata 10 days bila kutoa mbegu.