Na sirudii tena.
Unajua hii chalenge ndiyo imenifanya nijoin JamiiForum rasmi coz kwa muda flani uliopita nilikua naisoma kama guest ingawa toka nianze chalenge ni wiki ya pili saizi na leo yani ilibaki kidogo tu nipige puli ila nina video kadhaa za bokoharam huko nigeria wanachinja watu live mtu anakatwa kichwa mpaka kinatoka chote kabisa (Tanzania nchi ya amani sana, omba usikutane na wale watu duuuh!!!!).
Kuna mama mmoja yuko hapo wenzie wemechinjwa wote wamewekwa pembeni hapo huku akiona yeye akawa wa mwisho wakamwambia lala chini mama wawatu akalala naye wakamchinja vilevile kama kuku mazee, sasa nikionaga ile video tu huwa inanihuzunisha balaaa, na nikiona tu napata muhemko kama huo wa nyege nyege fasta naenda kuziangalia zile video na zinanikata stimu kabisaaa, ilikuwa leo asubuhi iyo nikapona kupiga puli kawa njia hiyo nikaleave fasta pornsite kisha nikazifungua zile video za bokoharam zikanikata stimu mazima ndiyo ikawa ponapona hiyo. Ila naamini kuna hatua nimepiga coz zamani ilikuwa nikicheki porn tu lazima nipige nyeto ila leo chalenge imeniokoa mazee, kwangu naamini huo ni mwanzo mzuri wa kuacha kutazama porn.