Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nitajaribu miezi mitatu, huku nafanya kegel mpaka ntapoweza kucontrol sex bila ejaculation, then naanza kupractice multiorgasmic. Kufanya sex bila ejaculation ni nzuri maana unacirculate sexual energy kwenye organs za mwili zinasaidia spiritual healing, shida nikumpata mwanamke mwenye pure energy maana siku hizi kila demu mdangaji kwa level yake, unaweza Pambana kusafisha energy afu ukaishia kujichafua kwa mdangaji mmoja and all your work done become equal to zero
Kaka usisahau kuwa mechi bila magoli ni upuuzi mtupu, usidhani wachezaji wanapenda kujichosha uwanjani wanataka mabaoooo..
Soo inafika wakati chuma kinaishiwa glisi na ku
Sijaelewa unaitambuaje hio misuli na unaifanyiaje hayo mazoezi.
Ebana we mwenzetu kubana mkojo wa kawaida kumbe hujui
 
Kaka usisahau kuwa mechi bila magoli ni upuuzi mtupu, usidhani wachezaji wanapenda kujichosha uwanjani wanataka mabaoooo..
Soo inafika wakati chuma kinaishiwa glisi na ku

Ebana we mwenzetu kubana mkojo wa kawaida kumbe hujui
Naelewa kubana mkojo, tatizo ni kuwa ukishabana unaitambuaje hio misuli na unaifanyiaje hayo mazoezi.
 
Mkuu umewezaje?
Mkuu nakua kazn nkitoka ni mazoezin,baada ya mazoez nakua nimechoka hata huo mda wa kuongea na madem kweny Sim night naukosa.

Nje ya Hilo nimejipangia malengo ya mda mfupi na mrefu ya kutimiza yanayo hitaji fedha,hivyo tamaa zikinijia Ninapo kumbuka malengo yangu,naona kutaka sex kutakula hela zangu na kupelekea Mimi kushindwa kufikia malengo hivyo naghairi.

Lakini pia nnamalengo ya kiafya kua naitajika kuujenga mwili uwe imara maana afya ndio mtaji wa Kwanza,hivyo najua ke wapo tu mda ntakapo itaji napata,hivyo hainitesi...

Zingatia.
-jiepushe na kuangalia picha au videos za ngono.

-Jiepushe kwenda maeneo ambayo Unajua wazi lolote linaweza kutokea.

-kua mvivu kutongoza tongoza.

-jiwekee mikakati mizito ya kiuchumi,uwe una deal na mission zako zaidi.
 
Nimefanya Nofap kwa wiki tu...wife akataka vinu, nikampaaa vinuuuu.
Nguma imetoa ya kwanza imegoma kulala inataka kuendelea...nikapiga tena na tena,
"Nilijiona stelingi" 😅😅
Ila Mbegu zilikuwa nyingi mno na kero niliyoipata wakati nafanya Nofap ni kudisa disa kila wakati ....hiii challenge ili ufike miezi labda huna demu 😂
 
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.

NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2259037

I consider this challenge, Kuna mahali imesema: enhances spirituality
 
Nimefanya Nofap kwa wiki tu...wife akataka vinu, nikampaaa vinuuuu.
Nguma imetoa ya kwanza imegoma kulala inataka kuendelea...nikapiga tena na tena,
"Nilijiona stelingi" [emoji28][emoji28]
Ila Mbegu zilikuwa nyingi mno na kero niliyoipata wakati nafanya Nofap ni kudisa disa kila wakati ....hiii challenge ili ufike miezi labda huna demu [emoji23]
Unamke alafu unafanya hii challenge jiandae mkeo kuliwa na vijana wa bodaboda
 
Mkuu nakua kazn nkitoka ni mazoezin,baada ya mazoez nakua nimechoka hata huo mda wa kuongea na madem kweny Sim night naukosa.

Nje ya Hilo nimejipangia malengo ya mda mfupi na mrefu ya kutimiza yanayo hitaji fedha,hivyo tamaa zikinijia Ninapo kumbuka malengo yangu,naona kutaka sex kutakula hela zangu na kupelekea Mimi kushindwa kufikia malengo hivyo naghairi.

Lakini pia nnamalengo ya kiafya kua naitajika kuujenga mwili uwe imara maana afya ndio mtaji wa Kwanza,hivyo najua ke wapo tu mda ntakapo itaji napata,hivyo hainitesi...

Zingatia.
-jiepushe na kuangalia picha au videos za ngono.

-Jiepushe kwenda maeneo ambayo Unajua wazi lolote linaweza kutokea.

-kua mvivu kutongoza tongoza.

-jiwekee mikakati mizito ya kiuchumi,uwe una deal na mission zako zaidi.
Strongly agreed
 
HAIKUWA KAZI RAHISI LAKINI NASHUKURU KWAKWELI HAPA NILIPOFIKA NA BADO NITAENDELEA KUKAZA
Screenshot_20220614-202611.jpg
 
Bora ujifunze kugonga bila kuejaculate...Ina faida nyingi kuliko hiyo Yako...you can sex hata mara 3kwa week laki unaejaculate once after 10 or 20 days
 
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.

NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2259037
Duuuuh!!
 
Kwahiyo hadi whores ni racists!? Sijaelewa au wanaogopa kwa vile wewe muafrica utapiga shoo ya kuua[emoji23]

watu wanasemaga wanakosa wanawake kuna jamaa alikuwa Washington akawa mbususu anazisikia kwa hewa.. hivi inakuwaje hiyo?
Mwenyewe tu huwa c mtu wa kujichanganya, nlikuwa nikirudi toka class nakaa room sitoki,
 
Back
Top Bottom