SPYnoCODE
Senior Member
- Jun 3, 2022
- 151
- 273
Kaka usisahau kuwa mechi bila magoli ni upuuzi mtupu, usidhani wachezaji wanapenda kujichosha uwanjani wanataka mabaoooo..Nitajaribu miezi mitatu, huku nafanya kegel mpaka ntapoweza kucontrol sex bila ejaculation, then naanza kupractice multiorgasmic. Kufanya sex bila ejaculation ni nzuri maana unacirculate sexual energy kwenye organs za mwili zinasaidia spiritual healing, shida nikumpata mwanamke mwenye pure energy maana siku hizi kila demu mdangaji kwa level yake, unaweza Pambana kusafisha energy afu ukaishia kujichafua kwa mdangaji mmoja and all your work done become equal to zero
Soo inafika wakati chuma kinaishiwa glisi na ku
Ebana we mwenzetu kubana mkojo wa kawaida kumbe hujuiSijaelewa unaitambuaje hio misuli na unaifanyiaje hayo mazoezi.