Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Hii ipoje mkuuu
Hii ni njia ya kuondoa hofu ukiwa unataka kufanya jambo huku unaogopa hauchukui mda wa kufikiria sana within five seconds unafanya hilo jambo hausibiri kujiuliza maswali mengi hutoi ile nafasi ya kuji second guess

Hofu na kuwa excited huwa vina condition moja(mapigo ya moyo kwenda mbio au kutetemeka) ukiwa una hofu au uko na hamasa hali huwa zinafanana... unachokifanya ni kugeuza ile hali ya hofu na kujipa moyo kuwa uko na hamasa sana na sio hofu una tricky ubongo wako

Kwahiyo hii inakuwa unatumia kitu kinaitwa anchor thought yaani unafikiria matokeo chanya ya jambo ambalo unaenda kulifanya kabla haujalifanya

Ukiwa unaogopa mapigo ya moyo yanaenda mbio wewe unauambia ubongo kwamba mapigo ya moyo yanaenda mbio kwa sababu niko excited kufanya hili jambo basi ubongo nao uta Translate kuwa wewe uko excited na sio uko muoga

Hii technique huwa inasaidia sana kwenye public speaking kama unaogopa umati, kama unamuogopa boss wako au kama unaogopa mwanamke aliyekuwa out of your league
 
Hii ni njia ya kuondoa hofu ukiwa unataka kufanya jambo huku unaogopa hauchukui mda wa kufikiria sana within five seconds unafanya hilo jambo hausibiri kujiuliza maswali mengi hutoi ile nafasi ya kuji second guess

Hofu na kuwa excited huwa vina condition moja(mapigo ya moyo kwenda mbio au kutetemeka) ukiwa una hofu au uko na hamasa hali huwa zinafanana... unachokifanya ni kugeuza ile hali ya hofu na kujipa moyo kuwa uko na hamasa sana na sio hofu una tricky ubongo wako

Kwahiyo hii inakuwa unatumia kitu kinaitwa anchor thought yaani unafikiria matokeo chanya ya jambo ambalo unaenda kulifanya kabla haujalifanya

Ukiwa unaogopa mapigo ya moyo yanaenda mbio wewe unauambia ubongo kwamba mapigo ya moyo yanaenda mbio kwa sababu niko excited kufanya hili jambo basi ubongo nao uta Translate kuwa wewe uko excited na sio uko muoga

Hii technique huwa inasaidia sana kwenye public speaking kama unaogopa umati, kama unamuogopa boss wako au kama unaogopa mwanamke aliyekuwa out of your league
Aisee kweli unawini sijawahi kuiskia hii mkuu hongera sana nimeielewa sana
 
Hii ni njia ya kuondoa hofu ukiwa unataka kufanya jambo huku unaogopa hauchukui mda wa kufikiria sana within five seconds unafanya hilo jambo hausibiri kujiuliza maswali mengi hutoi ile nafasi ya kuji second guess

Hofu na kuwa excited huwa vina condition moja(mapigo ya moyo kwenda mbio au kutetemeka) ukiwa una hofu au uko na hamasa hali huwa zinafanana... unachokifanya ni kugeuza ile hali ya hofu na kujipa moyo kuwa uko na hamasa sana na sio hofu una tricky ubongo wako

Kwahiyo hii inakuwa unatumia kitu kinaitwa anchor thought yaani unafikiria matokeo chanya ya jambo ambalo unaenda kulifanya kabla haujalifanya

Ukiwa unaogopa mapigo ya moyo yanaenda mbio wewe unauambia ubongo kwamba mapigo ya moyo yanaenda mbio kwa sababu niko excited kufanya hili jambo basi ubongo nao uta Translate kuwa wewe uko excited na sio uko muoga

Hii technique huwa inasaidia sana kwenye public speaking kama unaogopa umati, kama unamuogopa boss wako au kama unaogopa mwanamke aliyekuwa out of your league

Nilikuwa naifanya bila kujua jina…
 
Mwaka wa fedha ndo huu, mwezi wa saba umefika ndugu! [emoji2]
Nilshajiunga kitambo mkuu

Wala sikusubiri mimi nadhani ndio nashika usukani huku
Screenshot_20220709-175033.jpg
 
Baada ya takribani siku 35 Nimepata relapse moja Kali Sana nikajichukulia Sheria mkononi,
Mwanzo niliamua kuacha porn na puli kwanza Ila sex niendelee na nakumbuka nilisex Kama Mara sita au Saba hivi Basi, baadae nikahamasika nayo niiache, nikaazimia kufanya sperm retention Kabisa na nikaacha rasmi vyote porn, puli na sex.

Faida nilizopata
Kwangu Mimi nilijona Kabisa nimebadilika hata kazi zangu nilifanya kwa bidii na morali na mafaniko makubwa sana tofauti na mwanzo, kujiamini kwangu kuliongezeka sana Tena sana yaani hadi najishangaa mwenyewe, hata nikipishana na mwanamke sijishauri kumgeukia kumuangalia kwa tamaa za kumpigia puli baadae pia nimegundua kuwa Kumbe MTU unaweza Kabisa Kuishi bila kufanya mapenzi kabisa. Hii inawezekana sana maana nimepata muda wa kuusoma mwili wangu.

Kuanguka kwangu kumetokana na
haka ka ujasiri ka kipumbavu. Niliona nimewin najiamini sana aisee Kumbe napotea nikajisahau nikawa naperuzi mitandaoni bila utaratibu mzuri hasa Instagram naingia page zile mbovu mbovu kule nikiamini siwezi rudia maana najiamini sana maana naona hata iweje puli nilishaachana nayo na hainiwezi tena, Kumbe kiburi kinanipoteza sasa majuzi Tu Hapo, nikaingia page moja nikakutana na picha moja ya utata Kabisa shetani akatabasamu na Mimi nami nikamtabasamia akanisihi nijichujulie Sheria mkononi Basi nikamuitikia kwa kumpigia bao moja la mkono aisee sikutosheka nikapiga tena baade Tena nikarudia hadi siku nne mfululizo, nimejilaumu Sana na nimeumia Sana ,nikaona sina maana kabisa jitahada zangu zote zile nimerudia ushetani,nikajikuta roho inaniuma sana kibaya zaidi maumivu makali ya kichwa, magoti, kiuno na uchovu wa mwili wote na hasira muda wote.

Uamuzi niliochukua
Nimeamua nianze upya baada ya kubaini tatizo ambalo Ni kujiachia sana insta kule nimeamua kujipangia saa na wakati wa kuperuzi, Sitaki kujiachia Tena.
Naamini mwenyezi Mungu yupo nami Tena ktk mwanzo mpya.
Kama nikishindwa pia Hapo Basi nimedhamiria Kabisa Kabisa kufuta Instagram Mara moja baada ya kushindwa Tena.
Wajumbe naomba tuungane tena
Hongera pia mnaoendeleza challenge
 
Baada ya takribani siku 35 Nimepata relapse moja Kali Sana nikajichukulia Sheria mkononi,
Mwanzo niliamua kuacha porn na puli kwanza Ila sex niendelee na nakumbuka nilisex Kama Mara sita au Saba hivi Basi, baadae nikahamasika nayo niiache, nikaazimia kufanya sperm retention Kabisa na nikaacha rasmi vyote porn, puli na sex.

Faida nilizopata
Kwangu Mimi nilijona Kabisa nimebadilika hata kazi zangu nilifanya kwa bidii na morali na mafaniko makubwa sana tofauti na mwanzo, kujiamini kwangu kuliongezeka sana Tena sana yaani hadi najishangaa mwenyewe, hata nikipishana na mwanamke sijishauri kumgeukia kumuangalia kwa tamaa za kumpigia puli baadae pia nimegundua kuwa Kumbe MTU unaweza Kabisa Kuishi bila kufanya mapenzi kabisa. Hii inawezekana sana maana nimepata muda wa kuusoma mwili wangu.

Kuanguka kwangu kumetokana na
haka ka ujasiri ka kipumbavu. Niliona nimewin najiamini sana aisee Kumbe napotea nikajisahau nikawa naperuzi mitandaoni bila utaratibu mzuri hasa Instagram naingia page zile mbovu mbovu kule nikiamini siwezi rudia maana najiamini sana maana naona hata iweje puli nilishaachana nayo na hainiwezi tena, Kumbe kiburi kinanipoteza sasa majuzi Tu Hapo, nikaingia page moja nikakutana na picha moja ya utata Kabisa shetani akatabasamu na Mimi nami nikamtabasamia akanisihi nijichujulie Sheria mkononi Basi nikamuitikia kwa kumpigia bao moja la mkono aisee sikutosheka nikapiga tena baade Tena nikarudia hadi siku nne mfululizo, nimejilaumu Sana na nimeumia Sana ,nikaona sina maana kabisa jitahada zangu zote zile nimerudia ushetani,nikajikuta roho inaniuma sana kibaya zaidi maumivu makali ya kichwa, magoti, kiuno na uchovu wa mwili wote na hasira muda wote.

Uamuzi niliochukua
Nimeamua nianze upya baada ya kubaini tatizo ambalo Ni kujiachia sana insta kule nimeamua kujipangia saa na wakati wa kuperuzi, Sitaki kujiachia Tena.
Naamini mwenyezi Mungu yupo nami Tena ktk mwanzo mpya.
Kama nikishindwa pia Hapo Basi nimedhamiria Kabisa Kabisa kufuta Instagram Mara moja baada ya kushindwa Tena.
Wajumbe naomba tuungane tena
Hongera pia mnaoendeleza challenge
Ndio mana nawambia humu kila siku kuacha Addiction yoyote kwakutumia Willpower haifanyi kazi.
 
Pole sana mkuu karibu chalejini jana mimi nusu niharibu chalenj kuna uzi upo humu jukwan wa warembo na picha zao worldwide aisee ule uzi kwa wanaoujua ukitazamana picha.Mbili tatu lazima uchukue maamuzi ya kipuuzi nashukuru nilizishinda hisia kwa kutumia...mbinu moja ambayo bwana Jorge WIP anaitumia inaitwa five second rule hivi sasa nasonga na challenge
 
Back
Top Bottom