Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Daah hongereni mnaoiweza "Nofap" mm kila siku lazima nipige Masterbation aise, nikijaribu siku ipite bila kupiga nakosa Usingizi kabisa, kwahiyo ni lazima nipige Puli moja ya uhakika sana, then ndo napata Usingizi
Kuacha pull raisi sana sema ujamua mkuu ngoja nikupe njia
1.kaambali n vitu vyote vinavyo sababisha miemko ili ujipige gori mfano PORNOGRAPHY a. K. a X

2.tafuta demu ukiwa n hamu awesio wavisababu chapu uyu unakula mzigo

3.jiweke bize n mambo y muhimu

4.mazoezi yatakufanya uweimala Pia kukujenga kiafy Pia ukichoka utawaza nyeto kulala tuhh

4.usipende kukaa peke yako jichanganye na watu ili kuepusha kufikiria kupiga pull

5.mshirikishe mungu na amua kwa imani y dhati kwamba unaacha uwo mchezo

Mwengine aongeze apo nyama
 
Mimi twitter aisee pananiharibia sana
 
Nyie ila hii kitu inahitaji sucrifice sana maana unaweza kua upo siku ya 30 hujafanya sex wala nyeto hujapiga , ila sasa ukijichanganya kidogo tu inakua kama maji ya bahari yanavyokua yanarudi kwa Kasi😀😀
 
Nyie ila hii kitu inahitaji sucrifice sana maana unaweza kua upo siku ya 30 hujafanya sex wala nyeto hujapiga , ila sasa ukijichanganya kidogo tu inakua kama maji ya bahari yanavyokua yanarudi kwa Kasi😀😀
Hahah unapiga bao mvua
 
Pia kuna uzi humu jukwaani unaitwa warembo worldwide na picha zao ukiscroll picha 5 tu huchomoi mkono lazima uusike.[emoji81]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…