Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Inasaidia kuacha nyeto hyo ndio faida yani ukianza kuhesabu ukafika labda siku 25 hujapiga nyeto afu ukapiga nyeto roho itakuuma vibaya sana ukirud humu kuona wenzio wapo siku nyingi nying so ukianza kuhesabu tena lazma utulie...
Mkuu, acha kudanganya umma!

Dawa za kuacha punyeto zipo kabisa madukani, ila hiyo ya kujipa moyo eti utaacha ni uongo! Baada ya miezi miwili utazidiwa, utakuja kupiga ilo bao, hiyo siku utalala usingizi safi, kesho yake utasema "hii ya mwisho, sipigi tena"

Tafuta dawa mkuu!
 
hii challenge inafurahisha sana especially unaposoma comment za anguko kwa malegend wetu [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Inasaidia kuacha nyeto hyo ndio faida yani ukianza kuhesabu ukafika labda siku 25 hujapiga nyeto afu ukapiga nyeto roho itakuuma vibaya sana ukirud humu kuona wenzio wapo siku nyingi nying so ukianza kuhesabu tena lazma utulie...
Hivi kuacha punyeto ndo ngumu kiasi hicho?? Si mtu uamue tu kwanzia leo sipigi punyeto basi umemaliza! Vijana acheni punyeto
 
Kwa akili zangu timamu nimeona namimi nijiunge na hii challenge katika kusongesha gurudumu la Maisha. Naombeni jina la app nzuri ya kudownload kuendana na hii challenge

NB:Sijasoma comments zote hvyo we ukitaka kunitajia app taja tu usiniambie mpaka nipitie comment juu.
 
Nilianza challenge vizuri tu ilivyofika 30 days usiku wake kuna manzi mbovu kinoma akanitumia text ya UMELALA ? aisee ile text niliisi imetoka kwa Beyoncé nilianza kuchat nae kama sexmate wangu adi nayeye akashangaa maana hua namkwepa ata kutembea nae tu barabarani nikasema hii no fab itanifanya nizalishe madem wabovu nikaona isiwe kesi nikajiripua moja heavy ile namaliza lidemu likatuma text kama unais barid nambie nije niitoe nilivyoiyona nikasema WTF [emoji15] nikamjibu tu USIKU MWEMA nais alikuw ameshakolea nime set tena leo ni siku ya 5 lengo ni 60 days tuombeane tu mahana hali ni tete.
Oyaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora ungepiga ilo goma baya kuliko iyo moja ya hewani[emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu, acha kudanganya umma!

Dawa za kuacha punyeto zipo kabisa madukani, ila hiyo ya kujipa moyo eti utaacha ni uongo! Baada ya miezi miwili utazidiwa, utakuja kupiga ilo bao, hiyo siku utalala usingizi safi, kesho yake utasema "hii ya mwisho, sipigi tena"

Tafuta dawa mkuu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii imenisaidia mkuu
 
Nipo 35 days
Kusema kweli hii challenge ni ngumu
Yani kama nilivyofika day 26-30 [emoji23][emoji23] hali ilikuwa ngumu zaidi
Ila kwa sasa nimeanza kuzoea , i hope nitafika 90 days or more than that
Screenshot_20220727-225747.jpg
 
Mkuu sio kama mbususu sina za kuzika ninazo na moja leo mapema asubui saa kanitumia text anataka nikachezee rough road, text yake sijajibu mpaka sasa nina deni la 1.5m nyege nazitolea wapi mkuu
😀😀 .....NOFAP!!!! ......acheni hizo swaga........connect me kwa madem zenu
 
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.

NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2259037
Siyo kwa nia mbaya lakini nina wazo maana kuna watu humu tumesha wazoea bila papuchi mambo yao haya endi ... naomba tupewe vifaa maalum sisi wanaume tuvae ili mtu aki sex itupe tarifa ..... na akiwaza ujinga kichwa kimuume on sport ... nawasilisha
 
Mkuu, acha kudanganya umma!

Dawa za kuacha punyeto zipo kabisa madukani, ila hiyo ya kujipa moyo eti utaacha ni uongo! Baada ya miezi miwili utazidiwa, utakuja kupiga ilo bao, hiyo siku utalala usingizi safi, kesho yake utasema "hii ya mwisho, sipigi tena"

Tafuta dawa mkuu!
Sio kwl dawa ya nyeto ni kuamua kama hivi
 
Back
Top Bottom