Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Amani ya bwana iwe nawe. Samahani mkuu.
 
Exactly, Umenena vyema.
Miili yetu haijafungwa sensor ya kudetect unapomwaga mbegu ipeleke taarifa kwenye App,
Kwa hiyo hata ukimwaga mbegu still App itaendelea kukuhesabia tu no matter what ndio maana sikuona haja ya kuleta screenshot.
Sawa sawa mkuu, as long as uko true to you. Hatuwezi jua... lakini ni vizuri kuona kwamba intention yako ni njema. Kwa mantiki iyo basi niwie radhi.... eeeeeh!
Na leo itakuwa siku ya ngapi? 🤔🤔🤔 kuuliza tu.
 
Mtumie picha ya mbooh ikiwa imesimama kweli kweli aamini.
 
[emoji848][emoji848]
 
Tupe changamoto tunaoanza mkuu ..maana leo ndo cku yangu ya nne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…