Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Twitter ndo tatizo kuu,kuna kamdada kanaweka uzi wa "watoto wamelala"kalaaniwe kabisa
Malkia Nyuki mshenzi sana uyo dada ukijifanya kusoma comments za wadau ndo umepotea mazima maana wanatuma madude sio kitoto
 
Mi nimeona nijiunge na no Fap, Kwa sabb Sina demi Wala mke ๐Ÿ˜€
Uzi wake huo
 
Kapost wapi?
Mwingine huu wa mwamba wetu muanzilishi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ
 
Twitter ndo tatizo kuu,kuna kamdada kanaweka uzi wa "watoto wamelala"kalaaniwe kabisa
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nilijua mm tu hahahahahhaha binafsii hako kameniharibia sana nikipitia uzi wake najikuta nimejilipua tu
 
Malkia Nyuki mshenzi sana uyo dada ukijifanya kusoma comments za wadau ndo umepotea mazima maana wanatuma madude sio kitoto
Hako kadem kananikera sana. Hata mm hicho kinanikera sana, yani unakuta umeanza siku ,ako freshi tu lakn ukiingia twitter tu mindset inachange kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nilijua mm tu hahahahahhaha binafsii hako kameniharibia sana nikipitia uzi wake najikuta nimejilipua tu
Nimeamua kuifuta twitter kabisa kwenye simu,dhambi zimekua nyingi sana kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ