Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Ni kweli mtaalam Ila tumeona tuunganishe vyote maana semen retention ni kutunza shahawa isitoke kwa njia yeyote ile iwe kwa sex ama kwa nyeto na NoFap ni kwa lengo la kuacha punyeto, porn, na pia vile vile kumwaga sasa sisi tumeona vyote vinashabihiana hivyo apo ni mwendo wa two in one maana ukiangalia porno utashawishika kama sio puli basi utataka kut..omba dem...
Nafikiri umepata picha namna vitu hivi vinavyofanya kazi pamoja mtaalam....
Maana angu kuna watu wana ndoa wao wafanye NoFap na sio Semen Retention
Maana wasijeharibu ndoa

Watagongewa nje saaana
 
Nilichogundua ili ufanikishe hii challenge,unatakiwa ukae mbali kabisa na hii mitandao ya kijamii kwa kuwa ina hamasisha sana ngono.
Ukiingia wasap,facebook,insta,tiktok na bado uzi wa tunda kimasihara na warembo wakali world wide hapa JF,utakuwa kila siku unaishia kuwa scout tu halafu una reset.
Hadi utakosa sababu za kumwambia yule jamaa wa Iron Will
Mimi niliunfollow Insta wakina uwoya , zuchu , nandi , paula nk page yangu imejaa madini tupu na wanamichezo vilevile miziki ya hovyo pamoja na movies za kizungu nimetupilia mbali nilianza tokea kipindi cha covid tarehe niliandika kwenye kidaftari changu cha kumbukumbu na nikajiwekea kiapo siku nikisaliti chama faini yake ni kuachana kitabu hiyo ikanipa hamasa coz kitabu changu kina vitu muhimu siwezi kukichana hivyo kinatakiwa kuwa salama kwa muda wote.

Malengo ya kwanza ilikuwa miezi sita nilipovuka nikarenew contract sasa nimekuwa immortal chief General
 
Uzi mzuri, nilisabusikraibu nikawa nafuatilia comments.

Nami nikaunga tela, ila ni siku ya tatu naona kila day warembo wananielewa na hawajui nipo kifungoni.

Nakomaa tu, lengo litimie..bila ya uzi kuanzia january mpaka feb katikati, nilikaa bila sex ila ndoto nyevu zikawa nazipata..

Na genye zikiwa mingi, hata barabarani ukiona mwanamke hata kama sio mrembo unaanza kuingiza mikono mfukoni.

Naitaji niende mpama 2023..tuko pamoja.
Mkuu ukifika kama miezi 10 unaona nyota nyota
 
Maana angu kuna watu wana ndoa wao wafanye NoFap na sio Semen Retention
Maana wasijeharibu ndoa

Watagongewa nje saaana
Ni upuuzi kama uko kwenye ndoa kuwa memba wa #Nofap utamnyima hakinmkeo na kuleta madhara makubwa hii special kwa vijana haswa walio single kijiepusha na magonjwa ya zinaa pamoja na gharama zisizo na tija na kufilisi mitaji..
 
Nakumbukaga enzi zile kila nikijaribu kuacha masta…
Ikifika wiki in my head nasema “hongera sana kwa kufika wiki bila kunyonga, unastahili zawadi ya kunyonga walau hata kimoja” and just lyk that nsharelapse!!!

Kama unafanya hii challenge uku ukiwa idle, huna goals to chieve then ni bora usifanye cause unasumbuka bure, lazima utarelapse tu

Ndio unataka kusave money, ili ufanyie nini hiyo pesa? Kama huna cha kufanyia then uta bet kwa style ingine tu tofauti na nauli za warembo

Unakuwa more focused, ni kweli kama ukiwa na purpose kinyume na hapo ni uongo tu
 
Nipo hapa kwapa moyo, inawezekana [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Uzi mzuri, nilisabusikraibu nikawa nafuatilia comments.

Nami nikaunga tela, ila ni siku ya tatu naona kila day warembo wananielewa na hawajui nipo kifungoni.

Nakomaa tu, lengo litimie..bila ya uzi kuanzia january mpaka feb katikati, nilikaa bila sex ila ndoto nyevu zikawa nazipata..

Na genye zikiwa mingi, hata barabarani ukiona mwanamke hata kama sio mrembo unaanza kuingiza mikono mfukoni.

Naitaji niende mpama 2023..tuko pamoja.
Hao warembo achana nao hao watakuharibia mtaalam....
 
Mimi niliunfollow Insta wakina uwoya , zuchu , nandi , paula nk page yangu imejaa madini tupu na wanamichezo vilevile miziki ya hovyo pamoja na movies za kizungu nimetupilia mbali nilianza tokea kipindi cha covid tarehe niliandika kwenye kidaftari changu cha kumbukumbu na nikajiwekea kiapo siku nikisaliti chama faini yake ni kuachana kitabu hiyo ikanipa hamasa coz kitabu changu kina vitu muhimu siwezi kukichana hivyo kinatakiwa kuwa salama kwa muda wote.

Malengo ya kwanza ilikuwa miezi sita nilipovuka nikarenew contract sasa nimekuwa immortal chief General
Kweli kabisa hayo mapage ya kina uwoya mabaya balaa yanakuhamasisha hatari..... hata mimi nimeyafulia mbali. Nataka nifikie immortal
 
Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.

Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.

NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.

Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.

Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.

Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,

Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.

If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.

View attachment 2234241


Mimi imenishinda
 
Back
Top Bottom