makokoro
Member
- Jun 8, 2016
- 37
- 115
Hiyo hapo mkuu, View attachment 2250685
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetisha Sana makokoroHiyo hapo mkuu, View attachment 2250685View attachment 2250686
Hakika mkuu safari sio rahisi, wacha tuendelee kujaribu jaribu, japo na majaribu pia ni mingi mseeUmetisha Sana makokoro
Mimi nimejaribu leo siku ya saba naona uvumulivu unanushinda kabisa
Knight - Captain here [emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji123][emoji123]Hiyo hapo mkuu, View attachment 2250685View attachment 2250686
mkuu leta ABCDs za hii kitu nimeipenda.Ase shule zimefunga tutajionea mengi
Ukimaliza hiyo jiunge 40mil challenge....
Hii unatafuta 40mil capital ndani ya miaka miwili
Ikatokea ukafa kwa kugongwa na gari leo, unadhani hiyo NoFap itakusaidia huko uendako?Wasalam wadau. Nawasalimu kwa jina la upendo wa dhati.
Kwa wale wasioelewa maana ya neno NoFap.
NoFap ni kitendo cha mwanaume kukaa kwa muda wa kipindi fulani eidha miezi miwili, mitatu mpaka miezi sita pasipo kutoa mbegu zake za kiume yaani hiyo challenge msingi wake ni No Sex, No Masturbationn, No Watch Porn.
Hii ina faida nyingi sana yaani ni sawa na kujirestart mfumo wako mzima wa mwili ukitoka hapo unakuwa mpya kabisa, hasa ukikaa miezi kuanzia mitatu mpaka sita.
Niombeeni wadau katika hiu challenge ambayo nimeianza leo hii mara baada ya kushusha thread hii, sio rahisi hasa kama ulizoea kula mbasusu kwa mwezi zaidi ya mara kumi kama mimi, lakuni naamini nitashida hii challenge.
Mambo ya kumwaga mwaga mbegu bila sababu za msingi eti kisa utamu mwisho leo. Na nimeifalia sana hii ishu ya NoFap baada ya kuiona kwa mara ya kwanza mitandaoni huko na ziliiridheshwa faida nyingi sana za hii kitu na kuna baadhu ya wanasayansi wakubwa mambi yao yalifanikiwa zaidi baada ya kujiunga na hii kitu, mmoja wa wanasayansi mashuhuri ninaowakubali waliowahi kutumia huu mfumo wa NoFap ni Nikola Tesla jamaa mpaka anakufa alikuwa hamwaga mbegu zake kwa zaidi ya miaka mitatu,
Mimi nataka nianze na miezi mitatu kwanza.
If you want to reborn you are kindly welcome to the challenge.
View attachment 2234241
Mkuu Hata walio oa pia Kama wanaNia ya kuacha porn na nyeto jumlajumla wanafanya Ila kuchakata ruksa kwao,wao wananafuuHuu uzi ni kwa wasio oa tu?
Shimba ya Buyenze, mapambano yaendelee, nakitaka hicho cheoKnight - Captain here [emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji123][emoji123]
Mimi kesho nakuwa koplo,, tunazidi kukomaa mzeebabaCheo kipya hicho [emoji3]View attachment 2249697
Safi mzee baba naona unapiga hatua ile inavyotakiwaHiyo hapo mkuu, View attachment 2250685View attachment 2250686
Master Sergeant salute you officer🙋♂Knight - Captain here [emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji123][emoji123]
🔥Day 3 countdown [emoji91][emoji91][emoji91]
Keep it upMimi kesho nakuwa koplo,, tunazidi kukomaa mzeebaba
🔥Mimi kesho nakuwa koplo,, tunazidi kukomaa mzeebaba