Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeanza ya bila sex maana nipo mkoa sion pisi kama za dsm naanza hii challenge had ntakapo maliza na kurudi dsm.
Screenshot_20220819-194534_Iron%20Will.jpg
 
Hii mambo inachanganya kidogo!
Upande upande mwingine wataalamu wanasema kukaa muda mrefu bila kunyandua mtu kunasababisha Tezi dume!
Na kwamba kunyandua mara 24 kwa mwezi pia kunaua virusi vya Corona mwilini!
Wapo pia wanaosema kunyandua kunakufanya upante usingizi mzuri na kunaondoa stress zisizo za lazima na kukuepusha na baadhi ya magonjwa yasiyoambukiza kama vile kisuksri, pressure etc. So tumuamini nani?
 
Hii mambo inachanganya kidogo!
Upande upande mwingine wataalamu wanasema kukaa muda mrefu bila kunyandua mtu kunasababisha Tezi dume!
Na kwamba kunyandua mara 24 kwa mwezi pia kunaua virusi vya Corona mwilini!
Wapo pia wanaosema kunyandua kunakufanya upante usingizi mzuri na kunaondoa stress zisizo za lazima na kukuepusha na baadhi ya magonjwa yasiyoambukiza kama vile kisuksri, pressure etc. So tumuamini nani?
Nadhani kutunza mwili ni vizuri zaidi
Sex itumike kwa wanandoa tu tena wanaotafuta mtoto
 
Hii mambo inachanganya kidogo!
Upande upande mwingine wataalamu wanasema kukaa muda mrefu bila kunyandua mtu kunasababisha Tezi dume!
Na kwamba kunyandua mara 24 kwa mwezi pia kunaua virusi vya Corona mwilini!
Wapo pia wanaosema kunyandua kunakufanya upante usingizi mzuri na kunaondoa stress zisizo za lazima na kukuepusha na baadhi ya magonjwa yasiyoambukiza kama vile kisuksri, pressure etc. So tumuamini nani?
Hii mambo ni nzuri kufanya kama mbinu ya MOJAWAPO ya kuondokana na addiction ya compulsive sexual behaviour ( kama masturbation na porn). Kwa upande wa partnered sex inasaidia kupunguza au kuacha kabisa unnecessary excess sex kwa ajili ya kutunza afya na ku direct akili kwenye sehemu nyingine za maisha.
 
Back
Top Bottom