Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

Wenzangu hivi hakuna mtu anaeona side effects zozote?
Nahis nna hasira sana siku hizi View attachment 2437692
Fanya mazoezi, kunywa maji kwa wingi na soma vitabu, kusoma vitabu kutakusaidia kufahamu kutawala hisia zako.

Hasira ni kitu cha kawaida hasa unapokua unahifadhi nguvu zako za manii. Hii inasababishwa na kuongezeka kwa baadhi ya homoni na vichocheo mwili.
 
Fanya mazoezi, kunywa maji kwa wingi na soma vitabu, kusoma vitabu kutakusaidia kufahamu kutawala hisia zako.

Hasira ni kitu cha kawaida hasa unapokua unahifadhi nguvu zako za manii. Hii inasababishwa na kuongezeka kwa baadhi ya homoni na vichocheo mwili.
Vitabu nasoma, kiukweli productivity imezidi... kusoma nasoma kweli kweli hapo kwa mazoezi ndio sijahit gym kwa mda kidg ukichanganya na hii world cup

Pindi nafanya zoezi nlkuwa sisomi vitabu kwa sana, sasa hivi nasoma vitabu niko sifanyi zoez nahitaji balance hapa.
 
Vitabu nasoma, kiukweli productivity imezidi... kusoma nasoma kweli kweli hapo kwa mazoezi ndio sijahit gym kwa mda kidg ukichanganya na hii world cup

Pindi nafanya zoezi nlkuwa sisomi vitabu kwa sana, sasa hivi nasoma vitabu niko sifanyi zoez nahitaji balance hapa.
Panga ratiba zako vizuri tu mkuu, mazoezi kwa mwanaume ni muhimu sana pia usisahau kuoga maji ya baridi.
 
Hata walevi na wanywa mataputapu wana mentality kama zako dhidi ya wengine wasiojihusisha ,unaruhusiwa kuamini vile unavyoamini ..

Endeleeni kujidanganya,mtaanza kutamani mbolo sio muda
 
Aah mi chaliiii. Nilijitahidi siku nne tuu nikala mbususu nikapiga na nyeto.
 
nimeanza leo.
Screenshot_2022-12-10-21-04-37.jpg
 
Back
Top Bottom